I just love my smartphone!.

Mr.genius

JF-Expert Member
Feb 20, 2012
1,369
1,169
Sio ya gharama sana ila kwa matumizi yangu inanitosha,
Tecno boomj7, niliyoinunua tangu mwaka 2015 Nakumbuka enzi hizo ndo zlikua hot cake ndo zinatoka, Nakumbuka niliivuta kwa shilingi 240,000 za kitanzania kiukweli ndio ilikua simu yangu ya kwanza ya gharama kubwa kuwahi kuinunua na tangu hapo mpaka leo sijawahi kununua tena simu ya kiwango cha pesa kuzidi hapo.

Kwa gharama nlioitumia wala sijutii kwani i just love it! Smartphone yangu ndio kampani yangu, ndio mshkaji wangu ndio chuo changu cha kuvuna ma Knowledge kupitia internet. Gheto sina radio naitumia radio ya simu yangu tu kusikiliza habari na muziki from all over the world nina spika zang flani hivi naziamini sn when i want to listen to my favourite songs i just plugin the cable connected na spika zangu basi nakula mdundo as if nina subwoofer vile!.

Simu yangu nimeigeuza library kuubwa, nimejaza vitabu kem kem vile ninanvyopenda kusoma nikipataga link yenye vitabu ninavyovipenda hua sinaga ubahili wa bando kuvishusha Knowledge is power!

Kuhusu mawasiliano hapo ndo sisemi kabisa kwa miamala iliofanyika katika simu hii na deals mbali mbali ilizofanikisha gharama ya kuinunulia hii simu imerudi na profit juu!.

Tecno boomj7 ilikuja na camera ya mbele na ya nyuma ikiwa na Mega pixels 8, japo sio high quality kiivyo lakini ina ni save sana ku capture matukio muhimu in my life simu yangu ndio benki yangu ya picha i just love it.

Nafikiria kununua simu nyingne, yenye uwezo zaidi ya hii ninayotumia sasa ili iweze kunipatia taarifa zaidi, niweze kuvuna ma Knowledge zaidi, yenye space zaidi ili kuweza kuhifadhi documents zangu kwa Uhuru bila kuhofia kujibana bana kuishiwa nafasi!.

I enjoy using my smartphone and i am using it effectively, what about you?
 
nataman kulia dah ngoja na mim nikukumbatie smartphone wangu i love you my htc 1 mate8 wewe ndo rafik,mchiz na mshkaji wangu wa kweli kila nilipo kuhtaj upo na mim
 
nataman kulia dah ngoja na mim nikukumbatie smartphone wangu i love you my htc 1 mate8 wewe ndo rafik,mchiz na mshkaji wangu wa kweli kila nilipo kuhtaj upo na mim
Bigup, appreciate and love what you have!
 
Sio ya gharama sana ila kwa matumizi yangu inanitosha,
Tecno boomj7, niliyoinunua tangu mwaka 2015 Nakumbuka enzi hizo ndo zlikua hot cake ndo zinatoka, Nakumbuka niliivuta kwa shilingi 240,000 za kitanzania kiukweli ndio ilikua simu yangu ya kwanza ya gharama kubwa kuwahi kuinunua na tangu hapo mpaka leo sijawahi kununua tena simu ya kiwango cha pesa kuzidi hapo.

Kwa gharama nlioitumia wala sijutii kwani i just love it! Smartphone yangu ndio kampani yangu, ndio mshkaji wangu ndio chuo changu cha kuvuna ma Knowledge kupitia internet. Gheto sina radio naitumia radio ya simu yangu tu kusikiliza habari na muziki from all over the world nina spika zang flani hivi naziamini sn when i want to listen to my favourite songs i just plugin the cable connected na spika zangu basi nakula mdundo as if nina subwoofer vile!.

Simu yangu nimeigeuza library kuubwa, nimejaza vitabu kem kem vile ninanvyopenda kusoma nikipataga link yenye vitabu ninavyovipenda hua sinaga ubahili wa bando kuvishusha Knowledge is power!

Kuhusu mawasiliano hapo ndo sisemi kabisa kwa miamala iliofanyika katika simu hii na deals mbali mbali ilizofanikisha gharama ya kuinunulia hii simu imerudi na profit juu!.

Tecno boomj7 ilikuja na camera ya mbele na ya nyuma ikiwa na Mega pixels 8, japo sio high quality kiivyo lakini ina ni save sana ku capture matukio muhimu in my life simu yangu ndio benki yangu ya picha i just love it.

Nafikiria kununua simu nyingne, yenye uwezo zaidi ya hii ninayotumia sasa ili iweze kunipatia taarifa zaidi, niweze kuvuna ma Knowledge zaidi, yenye space zaidi ili kuweza kuhifadhi documents zangu kwa Uhuru bila kuhofia kujibana bana kuishiwa nafasi!.

I enjoy using my smartphone and i am using it effectively, what about you?

Kilicho bakia funga nayo ndoa......hujatuambia lini ndoa inafungwa.
Sio kwa sifa hizo.
 
Actually it's not about branding, it's about how you use the branding!
Brother. Take my advice.
Find 350k or 400k and log into kupatana.com. Find an iphone 5s.
You wont regret.. Within a month you will come up with a book like the one entitled "how to understand a woman"

If techno made you to write long shigongo story.
Iam sure you will be able and capable to write the novel about Steve Job creativity.

Dont ignore my advice.

Its not about joking or dissing you or crashing what you believe.

Every human is flexible and this apply to you as well.

Good Luck.

Saint Ivuga

Iphone x user
 
Back
Top Bottom