Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,373
Wakuu,
Naomba ushauri ni simu gani nzuri(Smartphone) ambayo ni Mid range pamoja na bei yake(Tanzania) kutoka kampuni yoyote kubwa isipokuwa Tecno na Infinix kwa vigezo vifuatavyo:
Brand new
Bajeti: 200,000-500,000
Battery:30000 mAh- 5000 mAh
Earphone jack
FM radio
RAM 2GB and above
Ukiweza kutupia na Picha na maelezo ya ziada itapendeza zaidi.
Ahsante.
Naomba ushauri ni simu gani nzuri(Smartphone) ambayo ni Mid range pamoja na bei yake(Tanzania) kutoka kampuni yoyote kubwa isipokuwa Tecno na Infinix kwa vigezo vifuatavyo:
Brand new
Bajeti: 200,000-500,000
Battery:30000 mAh- 5000 mAh
Earphone jack
FM radio
RAM 2GB and above
Ukiweza kutupia na Picha na maelezo ya ziada itapendeza zaidi.
Ahsante.