Chats zenyewe sio mbaya ila hapendi tu nisocialize na watu,dat1 I agreed wen we were okay together but after short breakup I could not stay like that kwa frustrations nazopataga I have to talk to people at least nipate nafuu.....ila tukianza kuwasiliana anaaanza kunihukumu sasa
Huyo bado anakupenda ndio maana anakufuatilia au labda mpo wawili au zaidi sasa anajaribu kucompare kwa kuwapima kuwa amchukue yupi kati yenu,vp ulishampa mzigo lakini?
Me na yeye tuna complicated relationship, ana act like he's not interested with me,he doesn't care whatever I can decide for him ila ananifatilia kiupande wa mawasiliano....anaona kila chat ya whatsapp na text za kawaida,how can I avoid this?!!