I hate Shorty Ladies..

I hate Shorty Ladies..

uran

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
14,678
Reaction score
20,445
Sidhani kama kuna mtu kaumbiwa kupenda kila kitu.
Na kila mtu naamini anakasoro yake..

Mimi kasoro yangu ni kwa wadada wafupi. hata uwe mzuri kiasi gani, ukiwa mfupi tu!
baasi!! nitakuchukulia kivingine.

Thats my big weakness..
Ufupi wa Below 4.5 feet kwangu ni shida, na hili limenikaa kwa muda mrefu sana.

What can I do to change my attitude?

Katika shughuli za kawaida, mara nyingi nakutana na watu wa type hii na huwa najizuia sana, dharau yangu isidhihirike wazi.
 
mods unganisha huu uzi na wa mbilikimo ule mwingine
 
mods unganisha huu uzi na wa mbilikimo ule mwingine

kwanini waunganishe? tuna mawazo tofauti na nimeweka huu uzi hapa kabla sijauona ule.
mitazamo inaweza kuwa inaendana but kila mtu anahitaji ushauri kwa nafasi yake
 
kwanini waunganishe? tuna mawazo tofauti na nimeweka huu uzi hapa kabla sijauona ule.
mitazamo inaweza kuwa inaendana but kila mtu anahitaji ushauri kwa nafasi yake

we hate tall niggers cc TEAMwafupi kujeni huku
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini umdharau binadamu mwenzio kisa maumbile?

hakuna aliyependa kuwa hivyo alivyo.
 
Kuna aya ndani ya Biblia inasema hivi aonavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo. Na kuhusu namna gani usiwachukie hao watu wafupi, fanya hivi.
Katika kitabu cha Mithali 16:7 tunasoma hivi Njia za mtu zikimpendeza BWANA, Hata adui zake huwapatanisha naye Najua hao ni adui zako tokea moyoni ndio maana ukiwaona unawachukia, basi mrudie BWANA naye atakupatanisha na watu wa namna hiyo, maana hata hao aliwaumba yeye kama alivyokuumba wewe. Wanadamu tunabaguana bali Mungu anatupenda wote. Ndio maana awanyeshea mvua, na kuwaangazia jua watu wote, wema kwa waovu.
 
Mungu ameumba watu kwa njia ya pekee sana, ameumba wengine wafupi na wengine warefu, ameumba mweupe na mwingine mweusi. Ameumba hvyo kwa ajili ya ku meet every human satisfaction. Kwa anayependa mfupi,anayependa mrefu,mweus or mweupe apate sawa na hitaj lake. Ushauri ni kuwa usimchukie na wala msidharau mtu kwa maumbile au rang yke maana utakuwa against na muumbaji, cha kufanya jitahid kumpenda kila mtu maana ameumbwa kwa jinsi ya ajabu na kupendeza hta kama c kwako havutii bal kwa mtu mwingine uvutia na kupendeza xana.
 
Mkuu kama nataka ku balance basi anza ku date na wasichana wafupi, najua mwanzoni utapata taabu sana lakini kadri unavyoendelea utawazoea.
 
Sidhani kama kuna mtu kaumbiwa kupenda kila kitu.
Na kila mtu naamini anakasoro yake..
mimi kasoro yangu ni kwa wadada wafupi. hata uwe mzuri kiasi gani, ukiwa mfupi tu!
baasi!! nitakuchukulia kivingine.

Thats my big weakness..
Ufupi wa Below 4.5 feet kwangu ni shida, na hili limenikaa kwa muda mrefu sana.

What can i do to change my attitude?

Katika shughuli za kawaida, mara nyingi nakutana na watu wa type hii na huwa najizuia sana, dharau yangu isidhihirike wazi.

you ain normal unaugomjwa wa WAFUPIPHOBIA kuna miwani unaona watu warefu 0707000999 tuwasiliane
 
Sidhani kama kuna mtu kaumbiwa kupenda kila kitu.
Na kila mtu naamini anakasoro yake..
mimi kasoro yangu ni kwa wadada wafupi. hata uwe mzuri kiasi gani, ukiwa mfupi tu!
baasi!! nitakuchukulia kivingine.

Thats my big weakness..
Ufupi wa Below 4.5 feet kwangu ni shida, na hili limenikaa kwa muda mrefu sana.

What can i do to change my attitude?

Katika shughuli za kawaida, mara nyingi nakutana na watu wa type hii na huwa najizuia sana, dharau yangu isidhihirike wazi.

hii sawa
 
Ulisha wahi kujiuliza wewe unakasoro gani na inawakera watu kwa kiasi gani? Kuna uwezekano kero yako kwa hao wafupi ni zaidi ya kero yako kwa jamii nzima, huenda unanuka mdomo na kila unaeongea nae anachukia ila anashindwa kukwambia, muombe sana mungu akufungulie ujue mapungufu yako kabla ya mwingine na hapo ndio utajua mungu alikuwa na maana gani pale YESU ALIPO WAPITA WATU WALEFU ZAIDI YAKO WEWE NA KWENDA KUKUTANA NA BWANA ZAKAYO AMBAE NI MFUPI ZAIDI YA HAO UNAOWACHUKIA WEWE
 
Hate?... hate kabisaaa.... hate! You hate them!!! Unawachukia... una chuki nao.... chuki!!! Unawachukia kwa kuwa ni wafupi!!! Mmoja wao angeweza kuwa mama yako, au dada, au mkwe, au anti.... utamchukia kwa sababu ni mfupi... kwa sababu akisimama kutoka miguuni hadi kichwani hazidi futi 4.5 utamchukia... utakuwa na chuki dhidi yake...
Ok...
 
Subiri siku upate ajali ukatike miguu alafu ukutane na mtu aseme i hate waliokatika miguu utapata maana ya ulichopost
 
Back
Top Bottom