I dont want it

I dont want it

Thanx mamy ila tena ndio nisiwe uchochoro wa kitaa wapita njia na haja ndogo humohumo!!!!

Baneni miguu jamani sio tena na wewe uje hivi kwa styLe hii, na michozi uko pregooo NOOO!!!!!

badiebey, Heaven on Earth mtoe kopi maneno haya na muyatumie huko kwenye dinner, get together, sijui tunamuaga mfanyakazi mwenzetu kumbeeeeeee

Hahahaaa mbona tumebana tu usihofu! Subiri kupokea mkaja wa shemeji
 
Last edited by a moderator:
Wee oddo kwan mamkubwa kalala?
I hope na we umejilaza pembeni!
Usikae sana mgongo utauma huoooo,mpk nikipata shemdarling mwingine ushindwe kumhug! Oh!

Khaaaaa wewe aisee yaani unaanza kumuonesha anaza posiboz????!!!!
 
Ona sasa!
Watu kwa kuongea kinyume !
Nimekuskia mwaya
Sema nini, chukua karatasi litengeneze kama filter hiv,aaf kamata ka Nzi!muweke humo then fanya kufungua zipu Kisha weka hiyo filter!
Relaaaax shida yako itaisha fasta!

Nafurahi umerudi kwenye mstari.
 
huyu mdada needs a brother!a father!.
Nyakati kama hizi a woman anahitaji ndugu yake wa kiume!
Kaka ,baba ,binamu also can do!
Mbona anapita kiulaini tu hapa!
huggies unae kaka?babako yupo? Binamu wa kiume?
Stick with them!
Ninao ila hawajui ukweli sija sema
 
Last edited by a moderator:
Yeye anasafirigi na tumbo wala halikua kubwa yani miezi 9 ilokua kama miezi 5 na na alikua na matatizo ndo maana nikaona bora nikae kimya kwanza nilivyoona siku zinazidi kwenda nikamwambia ukweli.
Unaona sasa kumbe angalau una sababu.japo mi sio kuwa naona alifanya sawa!
Jiambie tu kuwa alikujibu hivo kwa kuwa ana matatizo!
Ikuvushe ulipo!
Mi concern Yangu ni huyo cuttie wetu!
OLESAIDIMU kashaanza kupiga mahesabu ya ngombe! Usione anatuhimiza tukae kama familia!
Mamii lea binti yako!
Hakuna siku atakukana !
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa mbona tumebana tu usihofu! Subiri kupokea mkaja wa shemeji

If you mean it, happiness will be mine!!!!!

Ila sichukuagi mkaja wala mkongojo ili akizingua nimchane bila emotion wala nini
 
Mbali kivipi

Unaweza kumwambia mtu nina mimba (sio nina mimba yako) akakuambia hongera plainly bila kuonesha excitement ukadhani kafurahi kumbe anakupa hongera kwa maana nyingine kabisa!!!!!
 
kana nyonya

Hebu wachana na sisi!
Nyonyesha mamkubwa huyo.akishalala urudi!
Breastfeeding ni divine kwa kweli!
Hizi siku saba za mwanzo nyonyesha kadiri unaweza .kitovu hicho!
Take care!
 
Unaona sasa kumbe angalau una sababu.japo mi sio kuwa naona alifanya sawa!
Jiambie tu kuwa alikujibu hivo kwa kuwa ana matatizo!
Ikuvushe ulipo!
Mi concern Yangu ni huyo cuttie wetu!
OLESAIDIMU kashaanza kupiga mahesabu ya ngombe! Usione anatuhimiza tukae kama familia!
Mamii lea binti yako!
Hakuna siku atakukana !


Kama kuna kitu huwa sioendi kusikia ni jinsi wapenzi wanavyojitahidi kuelezea kuwa sio wao ila ni mzingira tu, hapo huwa naona kama wananiyeyuuusha!!!!

Sikawii kupokea simu nikatokomea zangu, naona kama wanajaribu kuumba yai walilopikia keki tayari wakati hamna kuku kati yao!!!!!

Akizingua mpaka those days aaaanh tunapiga tu palipobakia vilevile!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Unaona sasa kumbe angalau una sababu.japo mi sio kuwa naona alifanya sawa!
Jiambie tu kuwa alikujibu hivo kwa kuwa ana matatizo!
Ikuvushe ulipo!
Mi concern Yangu ni huyo cuttie wetu!
OLESAIDIMU kashaanza kupiga mahesabu ya ngombe! Usione anatuhimiza tukae kama familia!
Mamii lea binti yako!
Hakuna siku atakukana !

Hiyo inatokea kama mlikuwa hamjawekana sawa kuhusu kupata mtoto. Ni reaction ya kawaida kwa mwanaume ambaye, pamoja na kula tunda lakini bado kwa sababu fulani ikiwa ni pamoja na uoga wa kulea, anakataa matokeo.

Take heart, ni suala la muda atarudi kwenye akili yake ya kawaida akitulia na kupata mawili matatu kwa marafiki au jamaa zake na atamhudumia mtoto. Ni muda gani? hilo linategemea na mtu mwenyewe lakini nina uhakika atarudi tu kumlea mwanae.

Wote wawili, wewe na yeye mna makosa katika hili. Kwa sasa dada kuwa mpole maadam taarifa anayo, endelea na maisha kama kawaida. Tabu utapata lakini ndio matokeo ya makosa yenu. Usikubali ushauri wa mashosti wengine watakulostisha. Na kama una uhakika siku hizi kuna DNA - kiboko yao. Pumba kule, mchele huku!
Sawa bwana asante. Mi nasubiri
 
Last edited by a moderator:
Ninao ila hawajui ukweli sija sema

Utakosa mwana na maji ya moto ujue wakisikia kwa watu baki nao wataona ya nini kujihusisha na mambo usiyoelezwa???!!!!!

Tafuta audience nao au mwambie mama awaeleze!!!!!
 
Unaona sasa kumbe angalau una sababu.japo mi sio kuwa naona alifanya sawa!
Jiambie tu kuwa alikujibu hivo kwa kuwa ana matatizo!
Ikuvushe ulipo!
Mi concern Yangu ni huyo cuttie wetu!
OLESAIDIMU kashaanza kupiga mahesabu ya ngombe! Usione anatuhimiza tukae kama familia!
Mamii lea binti yako!
Hakuna siku atakukana !

Mwambie akapime DNA ili awe na uhakika. Kama atabisha na maadam anajifanya hakuelewa matokeo km vile hakuzaliwa duniani wewe mwaga mboga. Masuala ya TGNP, TAMWA, ustawi wa jamii na kama anafanya kazi usawa wa wakuu wake au kama ni mshirika wa makampuni basi huko kwa mameneja wenzake kutaeleweka, wazazi wake pia usiwaache. Mwaga mboga hadi mchuzi ili akoswe pa kuchovya.
Nawaza sijui niende kwa mama yake...
 
Last edited by a moderator:
Nafurahi umerudi kwenye mstari.

Nilijua tu utatulia ,hiyo dozi lazma ukae!
Sasa rejea nilichokushauri!
Hapo kulia sijui kushoto kwako kuna kitufe cha IGNORE LIST!
BOFYA HAPO!
 
Unaona sasa kumbe angalau una sababu.japo mi sio kuwa naona alifanya sawa!
Jiambie tu kuwa alikujibu hivo kwa kuwa ana matatizo!
Ikuvushe ulipo!
Mi concern Yangu ni huyo cuttie wetu!
OLESAIDIMU kashaanza kupiga mahesabu ya ngombe! Usione anatuhimiza tukae kama familia!
Mamii lea binti yako!
Hakuna siku atakukana !

Utakosa mwana na maji ya moto ujue wakisikia kwa watu baki nao wataona ya nini kujihusisha na mambo usiyoelezwa???!!!!!

Tafuta audience nao au mwambie mama awaeleze!!!!!
Niwakorofi ndo maana najaribu kumuweka sawa baba wa mtoto ili nisije kumuaribia maana baba yangu namjua mimi mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
Hongera kwa kujifungua
Pia kuwa na nguvu
 
Unaona sasa kumbe angalau una sababu.japo mi sio kuwa naona alifanya sawa!
Jiambie tu kuwa alikujibu hivo kwa kuwa ana matatizo!
Ikuvushe ulipo!
Mi concern Yangu ni huyo cuttie wetu!
OLESAIDIMU kashaanza kupiga mahesabu ya ngombe! Usione anatuhimiza tukae kama familia!
Mamii lea binti yako!
Hakuna siku atakukana !

Hongera kwa kujifungua
Pia kuwa na nguvu
Asante
 
Last edited by a moderator:
Unaona sasa kumbe angalau una sababu.japo mi sio kuwa naona alifanya sawa!
Jiambie tu kuwa alikujibu hivo kwa kuwa ana matatizo!
Ikuvushe ulipo!
Mi concern Yangu ni huyo cuttie wetu!
OLESAIDIMU kashaanza kupiga mahesabu ya ngombe! Usione anatuhimiza tukae kama familia!
Mamii lea binti yako!
Hakuna siku atakukana !

We naeee usiri gani huo?
Wasije waka mfunga
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom