OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
Niwakorofi ndo maana najaribu kumuweka sawa baba wa mtoto ili nisije kumuaribia maana baba yangu namjua mimi mwenyewe
Are you obsessed or what???!!!
Kumuharibia una maanisha nini wewe mtu mzima au under 18 atafanya nini babako juu ya hili? ??!!!!!
Tamwa, Tgnp, Tawla au nini atafanya???!!!!
Ushakuwa mama ujue hebu kuwa kiongozi sasa acha masuala ya my daddy bought me this, my birthday gift is what, sijui na kama hayo!!!!!!