I dont want it

I dont want it

Niwakorofi ndo maana najaribu kumuweka sawa baba wa mtoto ili nisije kumuaribia maana baba yangu namjua mimi mwenyewe

Are you obsessed or what???!!!
Kumuharibia una maanisha nini wewe mtu mzima au under 18 atafanya nini babako juu ya hili? ??!!!!!
Tamwa, Tgnp, Tawla au nini atafanya???!!!!

Ushakuwa mama ujue hebu kuwa kiongozi sasa acha masuala ya my daddy bought me this, my birthday gift is what, sijui na kama hayo!!!!!!
 
Wasije waka mfunga

AF mbn kama unajali sana kuhusu the guy!
New mother gani we we??
Yani hufeel chchote kwa huyo mtoto wako?
Huyo mwanaume matters kuliko mwanao?
Siku hiz mnapewa buscopan labor enh?
 
Are you obsessed or what???!!!
Kumuharibia una maanisha nini wewe mtu mzima au under 18 atafanya nini babako juu ya hili? ??!!!!!
Tamwa, Tgnp, Tawla au nini atafanya???!!!!

Ushakuwa mama ujue hebu kuwa kiongozi sasa acha masuala ya my daddy bought me this, my birthday gift is what, sijui na kama hayo!!!!!!
Nilijua kaanza kunikera peke Yangu!
 
Unaona sasa kumbe angalau una sababu.japo mi sio kuwa naona alifanya sawa!
Jiambie tu kuwa alikujibu hivo kwa kuwa ana matatizo!
Ikuvushe ulipo!
Mi concern Yangu ni huyo cuttie wetu!
OLESAIDIMU kashaanza kupiga mahesabu ya ngombe! Usione anatuhimiza tukae kama familia!
Mamii lea binti yako!
Hakuna siku atakukana !

Dada usife moyo! najua na unajua kwa kiasi gani cha makosa uliyofanya! cha msingi lea mtoto wako kwanza huku ukitafakari mustakabali wako, labda kinachokuchanganya ni uwezo wa kumtunza mtoto? kama una ndugu hawataweza kukutupa. Usije kukata tamaa na maisha, kama mtoto ni wa huyo mwanaume ipo siku atatendwa kama alivyokutenda hapo ndipo atakapokutafuta.
Simuombei mabaya ila asipo jirudi basi naomba kimkute cha kumkuta
 
Last edited by a moderator:
Simuombei mabaya ila asipo jirudi basi naomba kimkute cha kumkuta

Yani ujue tunajaribu kukutoa ulipo kimawazo af we ni wa juzi ujue!
Hii post mpk inafika hapa hujafunguka akili hata!
Af unapoteza concentration ya kunyonyesha huyo angel kwa kumtetea na kulilia mwanaume aliyekuacha crucial time like urs!
mnapendaje watu hivi mpk mnajisahau Nafsi zenu?
 
ukimuwaza huyo baba mtoto maziwa yatakauka. Kazi huna, sijui unajua bei ya maziwa ya mtoto? Kumbatia mwanao; huyo mwanaume network ikirudi atakuja.
 
Kaka hivi dada yetu wa uchungu toka nitoke tunamshauri hivi????!!!!

Kichwa ngumu utamfanya nini Ole?! Ukweli ni kwamba huggie angekuwa karibu na mimi na DNA za mtoto zikaonekana ni za huyo mpenzi wake angekiona labda awe mgonjwa. Haiwezekani upende ngono afu matokeo yake yasikuhusu. Kwnn lkn hii hali tunaisababisha? Mimi nilizaliwa ktk nyumba ya baba na mama na nikakua hivyo, think about how others miss their relatives. Watoto wanaoitwa watukutu, wa mitaani, machokoraa, n.k. wanasababishwa kwa kiasi kikubwa na huu ujinga.
 
Yani ujue tunajaribu kukutoa ulipo kimawazo af we ni wa juzi ujue!
Hii post mpk inafika hapa hujafunguka akili hata!
Af unapoteza concentration ya kunyonyesha huyo angel kwa kumtetea na kulilia mwanaume aliyekuacha crucial time like urs!
mnapendaje watu hivi mpk mnajisahau Nafsi zenu?

Hivi mtu kajifungua jana leo kashafungua İD Jf na kuanza kulalama mbona simwelewi? Mtoto atanyonya saa ngapi?

Ama kweli siku hizi hamna kujifungua bali kuna kuzaa.
 
Akiongeza na hasira za kukesha na vilio visivyo sababu atakamilika!!!!

Vilio vya kulazimisha uwe macho?
Ahahahahahahaha ngoooja Leo si ndo siku ya pili!
Dogo bado anashangaa shangaa oksijeni.
 
Akiongeza na hasira za kukesha na vilio visivyo sababu atakamilika!!!!

Huyu naona anahitaji kuendeleza maisha ya uboyfriend na ugirlfriend, hajui kama ameshakuwa mama. Anachohitaji yeye ni namna ya kumfanya boy wake arudi na si jinsi atakavyomlea mwanae.
 
Hivi mtu kajifungua jana leo kashafungua İD Jf na kuanza kulalama mbona simwelewi? Mtoto atanyonya saa ngapi?

Ama kweli siku hizi hamna kujifungua bali kuna kuzaa.
lilikuwa swali langu la kwanza!
Nilistuka hatari!
Day one!.
Enhenhenhennhnhe nimeshangaa sana!.
Ila ni kweli yametokea!
 
Huyu naona anahitaji kuendeleza maisha ya uboyfriend na ugirlfriend, hajui kama ameshakuwa mama. Anachohitaji yeye ni namna ya kumfanya boy wake arudi na si jinsi atakavyomlea mwanae.
Na we umeona hilo enh!
Simuoni desperate mother hapa
Kuna desperate girlfriend!
Namuoneaje huruma huyo mtoto!
 
Back
Top Bottom