I dont want it

I dont want it

Kichwa ngumu utamfanya nini Ole?! Ukweli ni kwamba huggie angekuwa karibu na mimi na DNA za mtoto zikaonekana ni za huyo mpenzi wake angekiona labda awe mgonjwa. Haiwezekani upende ngono afu matokeo yake yasikuhusu. Kwnn lkn hii hali tunaisababisha? Mimi nilizaliwa ktk nyumba ya baba na mama na nikakua hivyo, think about how others miss their relatives. Watoto wanaoitwa watukutu, wa mitaani, machokoraa, n.k. wanasababishwa kwa kiasi kikubwa na huu ujinga.

Nimekuelewa kaka i feel the pain in your nerves!!!!!
Daaaanh , well the bigger painted picture!!!!
 
Vilio vya kulazimisha uwe macho?
Ahahahahahahaha ngoooja Leo si ndo siku ya pili!
Dogo bado anashangaa shangaa oksijeni.
Chezea na joto alichukie yaani ajue kuna kupepewa na vitu kama hivyo!!!!
 
Huyu naona anahitaji kuendeleza maisha ya uboyfriend na ugirlfriend, hajui kama ameshakuwa mama. Anachohitaji yeye ni namna ya kumfanya boy wake arudi na si jinsi atakavyomlea mwanae.
Ngoja akutane na sma kopo 40-50 thou kila wiki mbili ndio atajua nini watu wanamwambia on psycho issue and breast feeding
 
inaonekana unapenda kuficha ficha vitu mpaka inafikia hatua mbaya ndo unasema kwanini usiwaambie a to z mapema
hongera kwa kuwa mama

Na wewe upitie UPT mapema kabla hujaniua kwa presha kaka yako!!!!
 
lilikuwa swali langu la kwanza!
Nilistuka hatari!
Day one!.
Enhenhenhennhnhe nimeshangaa sana!.
Ila ni kweli yametokea!

Nilifikiri nimeshangaa peke yangu. Hakymamama dunia inaelekea kubaya. Hivi siku hizi hakuna maumivu na uchungu wa kujifungua???
 
Na wewe upitie UPT mapema kabla hujaniua kwa presha kaka yako!!!!

hahaha mimi tena nikifikiriaga imani waliyonayo kaka zangu sita nyumbani afu wanavyonilea kama yai dada yao pekee achilia mbali walioko humu kina Ntuzu na simba mwendapole OS afu nije kuwaangusha aiseeeeee nahisi sijui mtanigeuza kitoweo
 
Last edited by a moderator:
Unaona sasa kumbe angalau una sababu.japo mi sio kuwa naona alifanya sawa!
Jiambie tu kuwa alikujibu hivo kwa kuwa ana matatizo!
Ikuvushe ulipo!
Mi concern Yangu ni huyo cuttie wetu!
OLESAIDIMU kashaanza kupiga mahesabu ya ngombe! Usione anatuhimiza tukae kama familia!
Mamii lea binti yako!
Hakuna siku atakukana !

Unaweza kumwambia mtu nina mimba (sio nina mimba yako) akakuambia hongera plainly bila kuonesha excitement ukadhani kafurahi kumbe anakupa hongera kwa maana nyingine kabisa!!!!!

No yeye anajua ni yake kabisa
 
Last edited by a moderator:
Nilifikiri nimeshangaa peke yangu. Hakymamama dunia inaelekea kubaya. Hivi siku hizi hakuna maumivu na uchungu wa kujifungua???
Labda wanachomwa sindano za ganzi!
Hawachoki?
Hawapati usingizi
Nyuzi haziumi
Hawa...enh ngoja ninyamaze!
 
hahaha mimi tena nikifikiriaga imani waliyonayo kaka zangu sita nyumbani afu wanavyonilea kama yai dada yao pekee achilia mbali walioko humu kina Ntuzu na simba mwendapole OS afu nije kuwaangusha aiseeeeee nahisi sijui mtanigeuza kitoweo
Simba whaaaaat????!!!!

Kama unajua yote hayo ndio ushikamane na adabu zako!!!!
 
Last edited by a moderator:
AF mbn kama unajali sana kuhusu the guy!
New mother gani we we??
Yani hufeel chchote kwa huyo mtoto wako?
Huyo mwanaume matters kuliko mwanao?
Siku hiz mnapewa buscopan labor enh?
Sio nawaza ka binti kangu hakama baba
 
Umempa mtoto wangu mimba alafu una mkataa kijinga jinga.Dingi yangu mkorofi.

Ha ha haaaaa hebu acha utamtia aibu huyo mzee wa watu!!!! Aonekane desperate bila sababu ya maana..akiulizwa alikuwepo wakati mimba inaingia atajibu nini???!!!! Akiambiwa kakutuma utegeshe atajibu nini???!!!
 
Yani ujue tunajaribu kukutoa ulipo kimawazo af we ni wa juzi ujue!
Hii post mpk inafika hapa hujafunguka akili hata!
Af unapoteza concentration ya kunyonyesha huyo angel kwa kumtetea na kulilia mwanaume aliyekuacha crucial time like urs!
mnapendaje watu hivi mpk mnajisahau Nafsi zenu?
Naelewa ila namlilia mwanangu yeye najiaji anisaidie matunzo tu
 
Ha ha haaaaa hebu acha utamtia aibu huyo mzee wa watu!!!! Aonekane desperate bila sababu ya maana..akiulizwa alikuwepo wakati mimba inaingia atajibu nini???!!!! Akiambiwa kakutuma utegeshe atajibu nini???!!!
Mi nachanganyikiwa kwakweli najikaza tu.
 
Back
Top Bottom