Nimekaa boarding miaka minne bila kufanya mapenzi; nilipomaliza form 4 nikarudi zangu home mara nikawa na mahusiano na msichana mmoja. Siku yangu ya kwanza kufanya naye mapenzi nilishindwa kwani nilipoanza kumchezea nikajikuta nimelowa mwenyewe kabla sija swich on machine.
Je, hili ni tatizo?
Naombeni ushauri
Je, hili ni tatizo?
Naombeni ushauri