Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 87
- Thread starter
- #61
Umekumbuka insurance lakini ?
Fanya haraka ulipwe mambo yako?
Yeah nimeshapiga na insurance!...inabidi niende for estimate!
Umekumbuka insurance lakini ?
Fanya haraka ulipwe mambo yako?
Sasa wewe unataka NN anunue ng'ombe wakati maziwa anakunywa free....
just playin'
Pole sana Dada Kelly, inatia uchungu sana kusikia hayo. Ila shukuru Mungu kuwa hawajakudhuru mwili ama kukuharibu uso. Hilo hata nasi tunashukuru, kama ni suala la hivyo vitu Mungu InshaAllah atakusaidia kupata vingine, kwake Yeye (Mungu) hakuna linaloshindikana.
Tuliza Moyo na tunakuombea upate amani moyoni katika huu wakati mgumu kwako. Ikiwa una rafiki ama ndugu jaribu kwa muda huu kwenda kulala kwake, ama omba watu ama mtu mje kulala pamoja. Ila kwakuwa uko nje ya TZ, yawezekana ikawa ngumu, sina uhakika.
Mungu akujaze nguvu, amani na akupe ulinzi wake ulio imara.
Hapo ndio watamsafishia kila watakacho -- kwa ulainii!Ikiwa una rafiki ama ndugu jaribu kwa muda huu kwenda kulala kwake
Mungu akujaze nguvu, amani na akupe ulinzi wake ulio imara.
Watu wengine wamepata mwanya wa kupenyeza hate zao....eti Cupcake thing sijui nini? Kama mtu U Cupcake haukuhusu nyamaza.....
Kelly, So sorry for what happen to you,how dare are they to do that to such a nice girl like you.I'll give you a piece of advice,I consider myself as a proffessional on this because of my personal experiance.I leave in Bed Stuy for those who know the area knows what m talking about.M dealing with not just criminals but also haters.My first car to be stolen was 2004,I found it in a week after they left an attended so it end up in police yard.since then between three different van they broke to my cars about 15times,I did report some times to the police it didn't help.I relize police want you to give them a lead.but its good for you just to call the police and have a police report you never know one day you will get a lead.everytime they break my car all i do is go and fix because is less than my deductible for the insurance so if you keep calling insurance company they may end up increase your premium.I was so upset when they broke my Sequoia but I still went and fix.my advise is make sure you do get a police report,don't panic,find out how much it cost to fix if it's less than your deductible don't call your insurance company.see where you park your car see if anybody has security camera and ask if they can let you see the footage on that night so you can give police a lead.don't leave anything on your car next time n be carefull.M afraid to ask you for your tel.# so I can call you.Anytime you see your window is broken don't panic they are either a crack head or just haters go and fix no stress life is too short for that...bless n good luck. SAHIBA.
May be thy think this cupcake thing is a joke uh!....hahahaha!...i finally get my smile back uwiiii!.
wow sahiba why dont you move out of that neighbohood it doesnt sound safe at all...maana utakuwa una spend most of the time ku-fix your car...oh well i called one of my friend who owns an insurance company he told me the same that i would rather fix t myself than calling insurance company maana my deductable might go higher...
come back home mumy, home sweet home, hapa bongo kuna amani ya kumwaga.
Just hang in there Sweetpea....everything is gonna be alright
Kelly01, nimefurahi hujazungumzia kununua bastola maana nilidhani utasema na mimi nanunua cha moto wakija tena ama zao ama zangu. Lakini hilo la kuweka camera nje ya nyumba yako lipe uzito. Si ajabu hao jamaa wameshafuatilia nyendo zako na kugundua kwamba unaishi peke yako siku nyingine watavunja na kuingia ndani na kukutia hasara kubwa zaidi. Mungu apishilie mbali.
oii hapa tunaita sungu sungu aka ulinzi wa jadi......Duh, pole sana kwa janga lililokukumba. Kama BAK alivyosema nunu camera zinazostream kwenye internet aka nanny cam unakuwa na access nayo ata ukiwa kazini. Au mkiona vipi anzisheni Neighborhood watch kwa kushirikiana na police wa county/city.
Unajua kuchana msamba?alafu namalizia na kung-fu kudadake...
Duh, pole sana kwa janga lililokukumba. Kama BAK alivyosema nunu camera zinazostream kwenye internet aka nanny cam unakuwa na access nayo ata ukiwa kazini. Au mkiona vipi anzisheni Neighborhood watch kwa kushirikiana na police wa county/city.