Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
Japan walianza kuunda bullet train 1964 sio 1994.Ndugu bullet train zimeanzia mbali.
Japan walianza kuunda train zinazowexa kukimbia 135km/hr to 180km/hr mwaka 1994 km sijakosea.
Wakaboresha now wameunda kuanzia 200km/hr kwenda 350km/hr.
Hiyo kuleta kuhusu 150miles/hour to 250 miles/hour hizo ni za sasa hv.
Ila ukitaka nakuletea hapa evidence kwamba zilianza hizo nilizokutajia.
Hiyo screenshot nilokuletea isikufanye unitoe akili kuwa sijui tofauti ya miles na kilometres Broddah.
Bali naweza sema nilikurupuka kuituma.