Kwani tuliwachagua kina nani 2015? Ndege si inaongozwa na pilot na co pilot?Vitu vya JPM. Mnasema vya mama. Wacheni hizo. Mama ajaanzisha mradi wo wote ule. KaI ya mamaa ni kazi iendelee
Kwani tuliwachagua kina nani 2015? Ndege si inaongozwa na pilot na co pilot?Vitu vya JPM. Mnasema vya mama. Wacheni hizo. Mama ajaanzisha mradi wo wote ule. KaI ya mamaa ni kazi iendelee
Imetimia hii chief, already people they judge about first act!Korea ni watu waadilifu kwa asili, bila shaka hili deal litakuwa halisi unless wawepo 'watu kati'. Mbali na hapo wapigaji unaweza kukasikia wakitaka mkataba na tenda vitangazwe upya maana hawaga dogo kwenye maslahi
Kinachosikitisha ni kwamba kuna mtu akiwa na account yenye million kadhaa au ghorofa Mbezi, au kijikampuni cha kulamba tender anaona ndio kila kitu regardless wengine wanaendelea kuishi katika dhiki kiasi gani zilizosababishwa na matendo yake ya kijinga na kizembe.Imetimia hii chief, already people they judge about first act!