Akili zetu si za ajabu ila ni hivyo tulivyo, inatokea kupenda hata kama angekwambia vipi. Ila sasa mbaya ni pale usipotumia kinga dhidi ya hayo anayosema huyu binti.
mapenzi hayana macho. wanaume tunapenda, au kutamani kwa nguvu sana na kwa haraka
Nasikia ukianza kutumia ARVs huwezi kumwambukiza mtu. Labda wanatumia kigezo hicho na hivi binti ana mvuto.
Ili kuzima kiu ya ngono aongozane na hao wanaume hadi ANGAZA apime na kuwapa ruhusa jamaa wafuate majibu yake ya damu for their records. Secondly , umegeneralise ; si wanaume wote wenye Tabia hiyo.
:sad::sad::sad:Jamani, hapa kwetu kuna mdada mmoja ni mgonjwa na anatumia dawa za kuongeza siku (ARV's) tena kwa muda mrefu sana sasa tangu mwanzoni mwa miaka ya 2000, na yupo wazi kabisa tena hafichi anasema kabisa kuwa yeye ni HIV +. Cha ajabu, kwa kuwa yule dada ni mzuri sana kwa sura na umbo, wanaume wanamfuata sana, hata waume za watu wamo. Dada anawaambia kuwa ameathirika lakini hawaamini, wanamng'ang'ania tu, hadi anaona kero, na hayupo tayari kumwambukiza mtu mwingine HIV kwa makusudi.
Swali langu ni kwamba, kwanini wanaume hawaamini na kumwacha? Kunawengine wanadai eti ni gear yake tu ya kukataa wanaume, sas asemeje ili muweze kuelewa kuwa anaishi kwa ARV's? Mnataka kuambukizwa?:thinking::thinking::thinking:
Duh! Ndiyo maana nakupenda Chelle, manake utanisadia sana hapo kwenye reasoning capacity. Halafu hii xperience yako nimeikubali si mchezoHa ha ha ha ha, huwezi waelewa wanaume wakishatamani kufanya mapenzi na mwanamke,wengi wao reasoning capacity inafutika,ndo maana wengine unamjua siku ya kwanza,ya pili anataka kulala na wewe bila kinga,hawafikirii watoto wao,wake zao,wazazi wao,na jamii inayowategemea,au hata consequence nyingine za matendo yao! akishalala na mwanamle ndo akili inarudi anaanza juta na kulaumu!!!
Maskini huyo dada,wema wake haueleweki,ndo sikio la kufa halisikii dawa!!
Duh! Ndiyo maana nakupenda Chelle, manake utanisadia sana hapo kwenye reasoning capacity. Halafu hii xperience yako nimeikubali si mchezo
Hizi lugha unazotumia duh..........inaonekana kama vile tayari umekoleaaaaaaa hahahahahaKwa hiyo kama sijakuambia nina ngoma utanilamba bila kinga?? Au ile tu utanilamba!! Si bora huyu amejitolea kusema ukweli!! Hiyo ndio akili tunayoishangaa bro!!
Hujasikia fununu lakini nina ngoma unanilamba na unaupata, hiyo ni akili sasa?? Acheni tamaa mbaya bwana wee!!
Duh! Ndiyo maana nakupenda Chelle, manake utanisadia sana hapo kwenye reasoning capacity. Halafu hii xperience yako nimeikubali si mchezo
kaka mdogo unazungumza nini hapa wakati kaka mkubwa niko na majonzi ya Gongoo la Mbotoz!
Mbagala imehamia Gongo la Mboto.
Mungu libariki jeshi letu.
Endeleeni na mada yenu, samahani kwa hii ofu topiki!:sick:
Kaka mkubwa pole sana, ila ndiyo hivyo majonzi huleta mapenzi na mshikamano.........Chelle yaani baada ya mabomu ya jana naku-feel sana, i hope umesalimika laaziz.
Nimelikubali hilo kufuli kwa mwili wote.........aisee hizo funguo kaa nazo tu chelle wangu.Nataka ku-complain kuhusu hiyo avatar yako,inaninyima concentration,halafu hayo maneno yako pia........nafurahi umeikubali experience,mimi kweli nawasaidia ambao reasoning capacity inahamia chini....nakupa kofuli ambalo mamsap ndo anabaki na funguo.......usiwe unapotea hivyo
Brain yangu mimi saa hizi imegoma kabisaaaaaaaa.........Yaani akili yote kwako tu. Hiyo avatar yako hyo ....acha tu. Xperience nitakupa wewe tu wala usijali ukishaiweka akili yangu sawa.Hivi wanaume mna akili gani jamani?????? Da Womanizer,em tupe experience yako........!!!!
Duh! Sikujua kama nazima moto kwa petrol! Samahani sana dia kwa kukugusa.
Brain yangu mimi saa hizi imegoma kabisaaaaaaaa.........Yaani akili yote kwako tu. Hiyo avatar yako hyo ....acha tu. Xperience nitakupa wewe tu wala usijali ukishaiweka akili yangu sawa.
On a srs note: Wanaume wameumbwa kutamani kwa kuona, na kwa bahati mbaya sana wanawake wana-take advantage of this very weakness of men, yaani wanavaa na ku-behave in such a way that wanaume wanawatamani kila wanapopita. Kusema ukweli wanaume wananyanyaswa sana kisaikolojia. So for most men akitamani mwanamke halafu huyo mwanamke akiwa kwenye mazingira ambayo ni approachable ni rahisi sana kumu-approach. Binafsi nimekutana sana na hii hali ila kwenye 100 basi nimekamatika mara 1 au 2. But really it is very tough to kwa wanaume rijali kuchomoka kwenye hii..........Nitarudi baadaye.
Back to Chelle:
Unasemaje sasa laaziz, mi nakusubiri mwenzio.