Hapo labda ni hao wanaume uliokutana nao wewe
Nina shaka, hasa na wewe! Umo kwenye hiyo 99%?
Hapo labda ni hao wanaume uliokutana nao wewe
Kwani wewe ni Sheikh Yahya mbona unatabiri vitu usivyokuwa na uhakika navyoNina shaka, hasa na wewe! Umo kwenye hiyo 99%?
Kwani wewe ni Sheikh Yahya mbona unatabiri vitu usivyokuwa na uhakika navyo
Labda nikwambie samahani wewe maana naona ndio umejiunga leo JF usijali lakini you'll get time to know it.Duh! Sikujua kama nazima moto kwa petrol! Samahani sana dia kwa kukugusa.
Sema best!! Wanaume kwa nini wana akili za hivi??
Hii ya kuuliza kama wanaume wana akili naona ni matusi... tuna cases za akina Liyumba, Mziray (RIP) na wengine wengi wanaofahamika... hatukugeneralize wanawake wote
I think Sinai unahitaji kuomba radhi... ni bora hata ungesema "wanaume wengine" kuliko kutupiga blanket wanaume wote
Labda nikwambie samahani wewe maana naona ndio umejiunga leo JF usijali lakini you'll get time to know it.
Una kesi what happened yesterdayWanaume bwana mkiambiwa ukweli mnakuja juu mbona mnatunanga kisa siku humu ndani :twitch::twitch::twitch:
Wanaume bwana mkiambiwa ukweli mnakuja juu mbona mnatunanga kisa siku humu ndani :twitch::twitch::twitch:
Tatizo lenu wanaume wakiwatenda huko mtaani basi mkija hapa JF mnafikiri na wanaume wengine wanafanana hivyo hivyo
Na ndio maana nimemwambia aseme baadhi ya wanaume na sio kupiga palanja kuwa wanaume wotel.o.l....kaka watu wanabahati mbaya bana,unakuta the past 20 wote walikuwa washashi!....wanafikiri na wote jf ni wakurya!...l.o.l
Una kesi what happened yesterday
We acha tu Kunya anye Kuku akinya Bata kahara!! Mi nachoka...