MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 350
hapana hakuna tatzo kwenye suala hilo ila inategemea mnaheshimiana vipi na mnapendana vipi. Ninaposema mnaheshmiana vipi ninamaana toka mpo kwenye uchumba hamkuwah hata siku moja kufashfiana juu ya elimu. Na ninaposema mnapendana vipi ninamaana hata kama mwanamke anaelimu ya juu na pia anamshahara mkubwa kuliko wewe lakn kama unampenda na yeye anakupenda kamwe hutokuja kuona tofaut katka ndoa yako na wewe pia usipende kuonyesha udhaifu wako wote kwake