Huzuni Kuu

Huzuni Kuu

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
1a.jpg
 
maskini! inauma jaman kuondokewa na mke/mume! Mungu ampe nguvu kwakwl
 
Dah Hakuna wakati mzito kama kufiwa na mke wako aiseeeeee.. Pole sana kwa waziri!
 
Chuki ya Chama tawala kwa wapinzani walianzisha wao kususia msiba wa Ndesa sasa unawafusia wao
 
Hakuna kitu kigumu kama kuondokewa na mpendwa wako.
Kuna kipind inaweza kwenda maeneo ambayo mlikuwa mnashinda naye unaweza kuhisi kama utamuona.. Inauma sana.
R. I. P mama.
Pole sana Mwakyembe.
 
Back
Top Bottom