MBITIYAZA JF-Expert Member Jan 22, 2017 14,950 26,050 Jul 19, 2017 #2 maskini! inauma jaman kuondokewa na mke/mume! Mungu ampe nguvu kwakwl
M MNANSO JF-Expert Member Jul 18, 2015 2,772 3,018 Jul 19, 2017 #6 Bwana Yesu awatie nguvu na faraja yake iliyo kuu zaidi
geek jo JF-Expert Member Mar 6, 2011 1,134 1,143 Jul 19, 2017 #7 Dah Hakuna wakati mzito kama kufiwa na mke wako aiseeeeee.. Pole sana kwa waziri!
N ndayilagije JF-Expert Member Nov 7, 2016 7,492 8,295 Jul 19, 2017 #8 Bwn alitoa na sasa ametwaa, jina lake libarikiwe. Jipe moyo. Sent using Jamii Forums mobile app
kiboboso JF-Expert Member Sep 17, 2013 9,182 12,286 Jul 19, 2017 #9 Amavubi said: Click to expand... Dah! Watu wanapiga picha tu. Tena na smart phone walahi, inauma sana.
Amavubi said: Click to expand... Dah! Watu wanapiga picha tu. Tena na smart phone walahi, inauma sana.
N NAKWEDE JF-Expert Member Aug 1, 2007 27,971 35,113 Jul 19, 2017 #11 Maskini alizaliwa mwaka 1970 kumbe!
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Jul 19, 2017 Thread starter #12 CHIKIRA MTABARI said: Maskini alizaliwa mwaka 1970 kumbe! Click to expand... yuko vizuri kaishi kwenye mbolea
CHIKIRA MTABARI said: Maskini alizaliwa mwaka 1970 kumbe! Click to expand... yuko vizuri kaishi kwenye mbolea
ancillary JF-Expert Member May 30, 2017 599 946 Jul 19, 2017 #13 Amavubi said: yuko vizuri kaishi kwenye mbolea Click to expand... jambo usilolijua ndugu,ila kwakuwa kazi yake ameshaimaliza apumzike kwa amani
Amavubi said: yuko vizuri kaishi kwenye mbolea Click to expand... jambo usilolijua ndugu,ila kwakuwa kazi yake ameshaimaliza apumzike kwa amani
ikinyunyi JF-Expert Member Mar 26, 2017 1,065 932 Jul 19, 2017 #14 Mungu awe pamoja na familia..... Pole sana Daktar Mwakyembe! Sent using Jamii Forums mobile app
mkonongo1938 JF-Expert Member Jan 22, 2016 1,990 2,397 Jul 19, 2017 #15 Kuishi ni Kristo na kufa ni faida!! Sent using Jamii Forums mobile app
Goodluck Mshana JF-Expert Member Aug 7, 2011 1,271 1,119 Jul 19, 2017 #17 Siku mkijua Mungu yupo na kuna kufa pia basi nchi hii itakuwa bora kabisa... Sent using Jamii Forums mobile app
Siku mkijua Mungu yupo na kuna kufa pia basi nchi hii itakuwa bora kabisa... Sent using Jamii Forums mobile app
Jaji Mfawidhi JF-Expert Member Feb 20, 2016 14,047 20,410 Jul 19, 2017 #18 Chuki ya Chama tawala kwa wapinzani walianzisha wao kususia msiba wa Ndesa sasa unawafusia wao
mjingamimi JF-Expert Member Aug 3, 2015 39,286 44,840 Jul 19, 2017 #19 Ni kweli.ni sababu ni mtu mzima na ni mwanaume ana umia ndani kwa ndani.ubavu tena umeondoka si mchezo. Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli.ni sababu ni mtu mzima na ni mwanaume ana umia ndani kwa ndani.ubavu tena umeondoka si mchezo. Sent using Jamii Forums mobile app
T tryphone005 JF-Expert Member Jan 30, 2017 453 507 Jul 19, 2017 #20 Goodluck Mshana said: Siku mkijua Mungu yupo na kuna kufa pia basi nchi hii itakuwa bora kabisa... Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hilo neno mkuu,
Goodluck Mshana said: Siku mkijua Mungu yupo na kuna kufa pia basi nchi hii itakuwa bora kabisa... Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hilo neno mkuu,