Mkuu huu sio wakat wa hayo maneno hata ww hapo sio kwamba unatenda mema kwa kila mtu au hata kwa mungu ... Kwann mnakuwa na roho za ajabu hivyo wakat kila kitu tulikikuta na tutakiacha?Siku mkijua Mungu yupo na kuna kufa pia basi nchi hii itakuwa bora kabisa...
Sent using Jamii Forums mobile app