huyu yupo chama gani??

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
sdc10642.jpg

mia
 
Hii tax moja iko Iringa.Ana manisha kwamba CHADEMA mbele inaonyesha njia CCM nyuma.
 
bendera gani inafungwa ma.takoni huku ni chadema kwenda mbele.

bendera ya ccm tunaichukua kwa sababu ya buku kumi hala tunajua kazi tunyozifanyia hatumwabii mtu ni siri kubwa.
 
anasapoti chama alichoweka bendera juu pale mbele na anakiponda chama alichoweka bendera kwenye makalio ya gari!
 
Watakucheka watu, hujui kusoma hata picha huwezi kuangalia. Mito ndani ya gari leo wayaita matairi.
CDM mbele, CCM nyuma

asante sana. mimi nlikua sijamsoma. kumbe mito ndo kasema matairi. dah!. mia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom