Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,392
- 59,148
Kwani hafundishi vizuri?[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan AnafundishaHapa ndo ujue wanaume ni waongo, eti utamaliza bucha nyama ni ile ile weeehhh.... kishimo tuu ndo kinahitajika.... waapii... waongooo everything matters to a woman in general ukiondoa ile (eyes of the beholder).
Mi mwenyewe nimejikuta namtizama hapo kwenye maungio yake ya mapaja.
She has nice morphology utasema wale wanawake wa kuchora kwenye magazeti ya Sani...
Ila kama kweli ni mwalimu hakutakiwa kuvaa mavazi hayo hata kama anafundisha watoto wa chekechea au waschana watupu. Akili ya wanafunzi itakuwa imezama kwenye kumtizama mwalimu kuliko kusikiliza.... Na hata baada ya kipindi wanafunzi watajadili, wiki ijayo mwalimu atavaaje.
Huyo hata kufundisha Sunday School kwa mavazi hayo hafai, kama anapenda kufundisha avae sketi za vibwaya au mwamvuli zilizofika chini ya goti, blouse isiyomshika maungo au gauni mfanano huo na nywele asiweke mtindo wa kuhamisha hadhira kuzubaa hapo Vivyo hivyo kwenye make up na ornaments.
Halafu utakuta wanaume wanaogopa kumuota huyu kwa hofu watachapiwa au mkewe atatongozwa sana.....
Unyanyapaa tuu na uchoyo.
Sizani kama kuna mwanafunzi mtoro katika darasa lake huwezi miss Kuhudhuria kipindi kwa huyu teacher [emoji91]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nkipataga NOTIFICATION yako wala sifungui najua umeandika "Noma sana"
Hapo ni kupiga ishara ya msalaba tu liwalo na liweHivi zigo kama hili kweli unalilaje na DUME???? tutaondoka wengi kwa kweli
Atakufelisha au ww unataka kukimbia mtihani ??? Fanya mtihani huo ufaulu mambo yako yooote yatakuwa mukideeeShule hii naomba uhamisho [emoji12][emoji39][emoji39]View attachment 1297895View attachment 1297896View attachment 1297897View attachment 1297898
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena anapenda sana topic ya reproduction
Shule hii naomba uhamisho [emoji12][emoji39][emoji39]View attachment 1297895View attachment 1297896View attachment 1297897View attachment 1297898
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli aisee,Mambo no fire.Hivi zigo kama hili kweli unalilaje na DUME???? tutaondoka wengi kwa kweli