Iwensanto
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,224
- 1,159
Kanunue mchina mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaanii..... hapo unakuta mume wake ndo amefumaniwa unajiuliza..... Sasa amekosa nini mwanaume huyu..... Unashangaa kabisaa. Mke mzurii labda tabia ndo iwe mbaya.... Ni binadamu wachache sana wameumbwa wazuri wa sura, muonekano, roho nzuri, moyo mwema, upendo wa kweli, waaminifu, watafutaji, wavumilivu, hawana hasira za haraka, muda wote wana furaha, sio wachoyo......et al.
Hapana nimetamani ningekuwa kama huyo mwanamke ili baby wangu afaidi utamu na mofolojia.....
Sent using Jamii Forums mobile app