EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,704
Bora aiseeee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Shule hii naomba uhamishoView attachment 1297895View attachment 1297896View attachment 1297897View attachment 1297898
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakua wa mase au fiziksiShule hii naomba uhamishoView attachment 1297895View attachment 1297896View attachment 1297897View attachment 1297898
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha si ajabu na wewe mkuu,umetamani ungekuwa mwanaume.Hapa ndo ujue wanaume ni waongo, eti utamaliza bucha nyama ni ile ile weeehhh.... kishimo tuu ndo kinahitajika.... waapii... waongooo everything matters to a woman in general ukiondoa ile (eyes of the beholder).
Mi mwenyewe nimejikuta namtizama hapo kwenye maungio yake ya mapaja.
She has nice morphology utasema wale wanawake wa kuchora kwenye magazeti ya Sani...
Ila kama kweli ni mwalimu hakutakiwa kuvaa mavazi hayo hata kama anafundisha watoto wa chekechea au waschana watupu. Akili ya wanafunzi itakuwa imezama kwenye kumtizama mwalimu kuliko kusikiliza.... Na hata baada ya kipindi wanafunzi watajadili, wiki ijayo mwalimu atavaaje.
Huyo hata kufundisha Sunday School kwa mavazi hayo hafai, kama anapenda kufundisha avae sketi za vibwaya au mwamvuli zilizofika chini ya goti, blouse isiyomshika maungo au gauni mfanano huo na nywele asiweke mtindo wa kuhamisha hadhira kuzubaa hapo Vivyo hivyo kwenye make up na ornaments.
Halafu utakuta wanaume wanaogopa kumuota huyu kwa hofu watachapiwa au mkewe atatongozwa sana.....
Unyanyapaa tuu na uchoyo.
Bora hata kumuoa ina afadhali,mwanaume wake ana nyumba ndogo mahali,Hapa ndo ujue wanaume ni waongo, eti utamaliza bucha nyama ni ile ile weeehhh.... kishimo tuu ndo kinahitajika.... waapii... waongooo everything matters to a woman in general ukiondoa ile (eyes of the beholder).
Mi mwenyewe nimejikuta namtizama hapo kwenye maungio yake ya mapaja.
She has nice morphology utasema wale wanawake wa kuchora kwenye magazeti ya Sani...
Ila kama kweli ni mwalimu hakutakiwa kuvaa mavazi hayo hata kama anafundisha watoto wa chekechea au waschana watupu. Akili ya wanafunzi itakuwa imezama kwenye kumtizama mwalimu kuliko kusikiliza.... Na hata baada ya kipindi wanafunzi watajadili, wiki ijayo mwalimu atavaaje.
Huyo hata kufundisha Sunday School kwa mavazi hayo hafai, kama anapenda kufundisha avae sketi za vibwaya au mwamvuli zilizofika chini ya goti, blouse isiyomshika maungo au gauni mfanano huo na nywele asiweke mtindo wa kuhamisha hadhira kuzubaa hapo Vivyo hivyo kwenye make up na ornaments.
Halafu utakuta wanaume wanaogopa kumuota huyu kwa hofu watachapiwa au mkewe atatongozwa sana.....
Unyanyapaa tuu na uchoyo.
Hivi zigo kama hili kweli unalilaje na DUME???? tutaondoka wengi kwa kweliShule hii naomba uhamishoView attachment 1297895View attachment 1297896View attachment 1297897View attachment 1297898
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha si ajabu na wewe mkuu,umetamani ungekuwa mwanaume.
Bora hata kumuoa ina afadhali,mwanaume wake ana nyumba ndogo mahali,
ha ha ha anayefaidi zaidi huwa ni me au ke mkuu?Hapana nimetamani ningekuwa kama huyo mwanamke ili baby wangu afaidi utamu na mofolojia.....
ha ha ha anayefaidi zaidi huwa ni me au ke mkuu?