Randy orton
JF-Expert Member
- Apr 29, 2019
- 1,338
- 3,541
Tumkubali hivyovyo kinyonge tu hakuna namna tupigwe tuNdio wa kwetu huyo tufanyaje sasa
Kila mwenye akili timamu ameliona hilo, anayo chuki kubwa sanaMuddy uswahili wake umefika kiwango Cha juu Mara amemu unfollow Diamond eti kisa tu Diamond amemsifia haji manara binafsi kutokana na hizi noti ninaanza kumuamini haji manara kuhusu ile hoja yake ya umaarufu.
Unamwambia nani ?TOA MWIKO HUKO NYUMA KWANZA. Kuna watu hulipwa kwa ajili ya kufanya kazi kama hiyo. USIDHANI SAMIA, MO, TULIA ACKSON, NDUGAI, BAKHRESA, DANGOTE, na watu wenye hadhi zao HUKAA NA KUHANGAIKA NA SOCIAL MEDIA KAMA WEWE. Kunya ulale usije ukajamba kitandani. MBUZI WEE.
Hovyo sana...Huyu ni mwamedi tu au mudi waiti...
Ana uswahili zaidi ya nasibu wa ZARI la mentali
Cha kushangaza amesoma hadi US ila tabia za kibongo zimemjaaMuddy uswahili wake umefika kiwango Cha juu Mara amemu unfollow Diamond eti kisa tu Diamond amemsifia haji manara binafsi kutokana na hizi noti ninaanza kumuamini haji manara kuhusu ile hoja yake ya umaarufu.
Bakhressa sijawahi kumsikia akiongea kwenye vyombo vya habari na ana TV zake akiamua awe ana tangazo lake anaweza. Hutamuona akiongea. Huyu jamaa mshamba sana aisee.Mabilionea hawanaga time na social networks, ila huyu huo mda sijui anaupata wapi.
Hahahahhahah walimrafi sio?Mo ni Tapeli na Mshamba ndio maana "alivalishwa kanga" alivyotekwa.
Sio Kweli... Elon musk amejaa twitaMabilionea hawanaga time na social networks, ila huyu huo mda sijui anaupata wapi.
Anavyo viongea Elon Musk na Mo vinafanana?, huoni hiyo kauli imejaa mipasho na majigambo.Sio Kweli... Elon musk amejaa twita