Huyu Tajiri wenu ni mshamba na mswahili

Randy orton

JF-Expert Member
Apr 29, 2019
1,338
3,534
Yaani Manara kasifiwa na Chama Insta Live , Tajiri wenu amekasirika kabisa.

Ni hakika yale aliyosema Haji tumeanza kuona ukweli wake.

Huyu mtu ni mshamba sana, tajiri gani ana tabia za kimaskini !.
mfunguacode__20210806_204136_1.jpg
jumalokole.2_20210806_203921_0.jpg
 
MO anahaki ya kuongea anachopenda.
MO yupo kawaida tu kwani hajioni kuwa ni Tajiri, wala hajifichi kama Matajiri wengine.
Kumbuka kazaliwa Singida na ni mswahili kama waswahili
wengine.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom