IKUNGURU IJIRU CHUKU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2021
- 484
- 541
Tupo wengi mioyo yetu inatutuma hivyo kutamka kuwa kuwa MBOWE SIO GAIDI.umetumwa mkuu
Ni gaidi. Tena mkubwa.
Ni gaidi. Tena mkubw
aliyemkamata na kusema gaidi ndiyo atatuambia ugaidi wake ni nini lakini for the time being juwa kuwa jamaa ni gaidi ila wakishindwa kuonyesha ugaidi wake ndiyo ytumtoe kwenye list ya ugaidi unaharaka ganiTuambie UGAIDI. Wake ni upi
Nikweli kabisa, sio gaidi ila ni mtuhumiwa wa ugaidi. Natamani ulijue hilo pia
Mbona hilo liko wazi kabisa?