Ujinga kivipi? Fafanua..
Magufuli hawezi kuwa rais,usipoteze kura yako na kupigwa na jua tumchague lowassa huyu ndo chaguo mungu
Lowassa ambaye wengi wetu tulimtaka ahamie UKAWA, si huyu ambaye tunamshuhudia.
Kutaka kunielewa zaidi, hebu jaribu kukumbuka mkutano wake wakati wa kutangaza nia pale Arusha na ufananishe na mkutano wake wa leo Arusha.
Mkutano ule wa kwanza, ulionyesha kujiandaa.. Wasanii walijaa, vyombo karibu vyote vya habari vilikuwa live..
Tatizo sasa hivi liko wapi? Hana hela au ameishiwa? Bado sana kujihakikishia ushindi, tunahitaji kuongeza nguvu ktk media, na pia kama inawezekana kuweka wasanii pia si vibaya kwani lengo ni kumpata kila mtu.
Hebu pata picha mikutano ya UKAWA inavyojaa leo bila wasanii wakubwa, je wangekuwepo ingekuwaje? Wengine watabisha kwa hoja dhaifu ya kujitofautisha na CCM, bila kusahau lengo letu kubwa ni kuingia madarakani ndo maana tukamfanya Lowassa kuwa mgombea wetu.
Muda bado ungalipo, tubadilike.
Mmeanza kuzinduka eh..
Lowassa ambaye wengi wetu tulimtaka ahamie UKAWA, si huyu ambaye tunamshuhudia.
Kutaka kunielewa zaidi, hebu jaribu kukumbuka mkutano wake wakati wa kutangaza nia pale Arusha na ufananishe na mkutano wake wa leo Arusha.
Mkutano ule wa kwanza, ulionyesha kujiandaa.. Wasanii walijaa, vyombo karibu vyote vya habari vilikuwa live..
Tatizo sasa hivi liko wapi? Hana hela au ameishiwa? Bado sana kujihakikishia ushindi, tunahitaji kuongeza nguvu ktk media, na pia kama inawezekana kuweka wasanii pia si vibaya kwani lengo ni kumpata kila mtu.
Hebu pata picha mikutano ya UKAWA inavyojaa leo bila wasanii wakubwa, je wangekuwepo ingekuwaje? Wengine watabisha kwa hoja dhaifu ya kujitofautisha na CCM, bila kusahau lengo letu kubwa ni kuingia madarakani ndo maana tukamfanya Lowassa kuwa mgombea wetu.
Muda bado ungalipo, tubadilike.
Nafurahi kama utampigia kura, vipi na wale ambao bado hawajafanya maamuzi? Tunawapataje?
Tutampigia kura, ila pia tunahitaji kampeni zifanywe kisasa zaidi.
Magufuli hawezi kuwa rais,usipoteze kura yako na kupigwa na jua tumchague lowassa huyu ndo chaguo mungu
Mmeanza kuzinduka eh..
Kwa mujibu wako tu. Kwa mujibu wa wengine anafaa sana tu.Lowassa hafai kuwa rais wa Tanzania, hafaiiiii
Mmeanza kuzinduka eh..