FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Kikwete ni fisadi penda usipende. Usitufanye sisi wajinga. Mali za Ridhwani zinajulikana. Bongo ni nchi ndogo, hakuna siri. Kila kiongozi wa Tanzania lazima atajitarisha na ataitajirisha familia yake. Kuanzia Mwinyi, Mkapa, na sasa Kikwete. Na kiongozi atakayefuata naye atafanya hilo hilo. Atajineemesha yeye na familia yake. Watanzania wataendelea kutaabika.
Wewe usemae Kikwete fisadi, leta ushahidi kama hauna kaa kimya. Mali usemazo za Ridhwani leta ushahidi wacha porojo.
Nyinyi ndio wale hata nzi mkubwa mnasema wa kizungu huyo. Kushindwa kwakokimaisha utafute sababu kwa mwengine.
Jiulize walioweza wamewezaje wewe umeachwa mkiani? jibu ni simpo, ni kwa ujinga wako, ni kwa uvivu wako, ni kwa kungoja kwako ufanyiwe.