Huyu Rais wa Msumbiji ni Mmakonde mwenzetu au aliishi Bongo?

Huku Tanzania Wamakonde ni wengi na Wamakua wachache ndio maana kila anayetoka Kusini ni Mmakonde kumbe Kuna Wamakua,Wayao,Wamwela,Wagindo n.k huwa inafanana na wanotoka Musoma kuwa Wakurya wote au Mbeya kuwa Wanyakyusa au Ruvuma kuwa Wangoni.Ingawa wengine ni inferior tu na kujibadilisha ila Mmakua ukitaka kumvuruga muite Mmakonde hataki kabisa nashangaa yule Louis wa Simba wanamuita Konde boy kisa katoka Msumbiji Basi ni Mmakonde.
Kuna interview Louis alisema yeye sio mmakonde but kwa kua jina linarepresent mozambique culture na ndy ashapewa basi hana jinsi.
 
unaposikia TANZANIA NA MSUMBIJI NI NDG , hivi ndio viashiiria vyake. UHURU WA NCHI YA MSUMBIJI. ulipatikana kutokana na juhudi za chama cha FRELIMO kupiga kambi yake TANZANIA KAMA KITUO KIKUU CHA HARAKATI ZAKE , WALIKUWA NA KAMBI KUUBWA P[ALE MOROGORO ENEO LA Mazimbu, na kwa Dsm pale kilipo chuo cha Deplomesia ndipo ilipokuwa kambi yao. wamekaa muda mreefu saana tangu harakati hadi kupatikana uhuru , wameoa na kuolewa hapa. na hata baada ya kupata uhuru waliambiwa wanaotaka warudi, na kwao wasiotayari wabaki tu Tanzania. haya ndio majibu kwa mujibu wa ufahamu wangu juu ya swali lako.
Sio majibu sahihi sana,Mazimbu Morogoro ilikuwa kambi ya ANC ya akina Mandela,Frelimo walikuwa Kongwa na sehemu zingine
 
Nyie Wakonde akili zenu mbovu.Wamakua wote mnalazimisha wawe Wamakonde Mpaka Mkapa mlikuwa mnamuita Mmakonde.Nyusi,Chisano na Mkapa sio Wamakonde.Msumbiji asilimia kubwa ni wamakua wamakonde sio wengi kuwazidi wamakua.Nyie ndugu yenu yule anavua shati na kutembea Tumbo wazi na limama la Kisukuma.
Kabila kubwa ni Shangani ambao wako kusini yaani Maputo na miji mingine,wayao wanafuatia ni wengi sana,wapo wengi Msumbiji,Malawi na Tanzania ni wachache
 
Back
Top Bottom