Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,538
- 13,001
Mkalimani alizingua kinoma, yaani ile kazi ka hauko fresh waeza aibika mbele ya wakubwa. 😂Ni afadhali kaepuka balaa la mkalimani.
✌️
Mkalimani alizingua kinoma, yaani ile kazi ka hauko fresh waeza aibika mbele ya wakubwa. 😂Ni afadhali kaepuka balaa la mkalimani.
Kabsa Japo kuwa katoka Kasai Katanga ambako kiswahili ni lugha mama bado hawezi ongea swahili. Mtoto wa kishua Felix....Mubali ya Bhato bha Congo ya Matadi, Kinshasa,bukavu, mbujimai nkWakishua yule amekulia France.
wasichojua watu wengi ni kuwa Mozambique ina Wamakua wengi kuliko wamakonde.Mmakua huyo, sio mmakonde. Huyo ni kabila moja na Hayati B.W Mkapa
Ni mmakonde.Mmakua huyo, sio mmakonde. Huyo ni kabila moja na Hayati B.W Mkapa
Kaishi sana KinondiniWakuu, nimeona Rais wa Mozambique Filipe Nyussi anaongea Kiswahili fasaha kabisa je kuna anayefahamu vizuri historia ya huyu mwamba ni mwenzetu au alisoma hapa Bongo?
Aisee, tunaomba ufanye hivyo mkuu tupate elimu, kwani elimu haina mwisho!Mtwara DC. siku moja nitaleta vielelzo vya kutosha
Watu wa msumbiji ni wamakua .Watu wa mindu tunduru masasi mtwara wengi wao walitoka msumbiji .Mfano mkubwa sana wa wasumbiji wakawa wamakua ni late rais Mkapa .wanaitwa Mandinga .Wakuu, nimeona Rais wa Mozambique Filipe Nyussi anaongea Kiswahili fasaha kabisa je kuna anayefahamu vizuri historia ya huyu mwamba ni mwenzetu au alisoma hapa Bongo?
Angekuwa Tanzania kabila lake lingekuwa mmakua .inaelekea yeye na mkapa wakawa ndugu .Mkapa kimakua chake cha msumbijiKaishi na kusoma Tunduru enzi za kupigania uhuru.
Pia ni mmakonde wa Msumbiji.
Ila inshu kubwa kwake ni nini??amesoma tunduru secondary na amekulia tunduru, ni mtu wa kaskazini mwa Msumbiji, hivyo kujua kiswahili sio inshu sana kwake
Nyie Wakonde akili zenu mbovu.Wamakua wote mnalazimisha wawe Wamakonde Mpaka Mkapa mlikuwa mnamuita Mmakonde.Nyusi,Chisano na Mkapa sio Wamakonde.Msumbiji asilimia kubwa ni wamakua wamakonde sio wengi kuwazidi wamakua.Nyie ndugu yenu yule anavua shati na kutembea Tumbo wazi na limama la Kisukuma.KONDE BOY
Hapo mwisho umemaliza kitabe sana..eti "limama la kisukuma"Nyie Wakonde akili zenu mbovu.Wamakua wote mnalazimisha wawe Wamakonde Mpaka Mkapa mlikuwa mnamuita Mmakonde.Nyusi,Chisano na Mkapa sio Wamakonde.Msumbiji asilimia kubwa ni wamakua wamakonde sio wengi kuwazidi wamakua.Nyie ndugu yenu yule anavua shati na kutembea Tumbo wazi na limama la Kisukuma.
Mwenzetu kivipi ?Wakuu, nimeona Rais wa Mozambique Filipe Nyussi anaongea Kiswahili fasaha kabisa je kuna anayefahamu vizuri historia ya huyu mwamba ni mwenzetu au alisoma hapa Bongo?
Hapo ni kweli , wamakonde wengi wao ni waislamu ambapo msumbiji ni wachache , hivi kwann kuna kuwa na Tabia Kama hiyo ?Nyie Wakonde akili zenu mbovu.Wamakua wote mnalazimisha wawe Wamakonde Mpaka Mkapa mlikuwa mnamuita Mmakonde.Nyusi,Chisano na Mkapa sio Wamakonde.Msumbiji asilimia kubwa ni wamakua wamakonde sio wengi kuwazidi wamakua.Nyie ndugu yenu yule anavua shati na kutembea Tumbo wazi na limama la Kisukuma.
Sio wamakonde hao , kingine sioni sababu ya yy kushangaaUnashangaa mmakonde kuongea kiswahili kwa nn usishangae Mu7 kuongea??
Wewe umejuaje Kama ni mmakonde ?Ni Mmakonde kwa kabila, kama tunavyojua wamakonde wapo hata ng'ambo ya mpaka, ameishi TZ akisoma Tunduru masomo ya msingi kabla ya kurudi kwao Msumbiji kuendelea na Masomo
He was born in Namau in Mueda District, Cabo Delgado Province, belonging to the Makonde ethnic group. Both his parents were veterans of the liberation movement, Frelimo. At the start of the Mozambican War of Independence, he was taken across the Ruvuma River to neighboring Tanzania, where he was educated at Frelimo Primary School in Tunduru. He pursued his secondary education at the Frelimo school at Mariri in Cabo Delgado and at Samora Machel Secondary School in Beira.[26]Wewe umejuaje Kama ni mmakonde ?
Huku Tanzania Wamakonde ni wengi na Wamakua wachache ndio maana kila anayetoka Kusini ni Mmakonde kumbe Kuna Wamakua,Wayao,Wamwela,Wagindo n.k huwa inafanana na wanotoka Musoma kuwa Wakurya wote au Mbeya kuwa Wanyakyusa au Ruvuma kuwa Wangoni.Ingawa wengine ni inferior tu na kujibadilisha ila Mmakua ukitaka kumvuruga muite Mmakonde hataki kabisa nashangaa yule Louis wa Simba wanamuita Konde boy kisa katoka Msumbiji Basi ni Mmakonde.Hapo ni kweli , wamakonde wengi wao ni waislamu ambapo msumbiji ni wachache , hivi kwann kuna kuwa na Tabia Kama hiyo ?