GE2025 Huyu Professor Neema Kumburu aliyepata kura 8 za wajumbe mbona kama anajidhalilisha?

GE2025 Huyu Professor Neema Kumburu aliyepata kura 8 za wajumbe mbona kama anajidhalilisha?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Tasnia ya siasa inataka fitna na majungu kama uziwezi bora usipoteze muda wako.

Si umeona huyo mshindi mwenyewe wa jimbo Priscus Tarimo, kwa miezi miwili mfululiko ilikuwa aipiti week bila ya kuanzishiwa mada hafai na za kujibu anatosha..

Hakuna mafanikio ya kuibuka tu kwenye jimbo na kushinda katika siasa, si ata Kimei na Phd yake watu wamepiga chini.
 
Tasnia ya siasa inataka fitna na majungu kama uziwezi bora usipoteze muda wako.

Si umeona huyo mshindi mwenyewe wa jimbo Priscus Tarimo, kwa miezi miwili mfululiko ilikuwa aipiti week bila ya kuanzishiwa mada hafai na za kujibu hafai.

Hakuna mafanikio ya kuibuka tu kwenye jimbo na kushinda katika siasa, si umeona ata Kimei na Phd yake watu wamepiga chini.
Kweli kabisa mkuu
 
Huko jimbo la Moshi mjini kwenye kura za maoni, kuna professor anaitwa Neema kumburu ,yani kapata kura 8 tu za wajumbe.

Huyu mtu mbona ni kama anadhalilisha taaluma yake?
Bila rushwa na ushirikina mbele ya CCM hupati kitu
 
Huko jimbo la Moshi mjini kwenye kura za maoni, kuna professor anaitwa Neema kumburu ,yani kapata kura 8 tu za wajumbe.

Huyu mtu mbona ni kama anadhalilisha taaluma yake?
Alishakunyima ndio unakuja na Mishiti yako, wivu tu
 
Inawezekana maadili na makuzi yake
Labda alikataa kutoa bakhshishi
Hatuwezi kumhukumu mtu
Ila tuwaze pande zote
 
Back
Top Bottom