Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,061
- 3,683
Hapo vipi
Jana majira ya mbili usiku, nikiwa ofisini kwangu,ghafla nyuki akaning'ata katika mkona wangu wakushoto juu ya kiwiko binafsi siku muona kabisa ila nilihisi maumivu tu.
Cha ajabu leo nasikia harufu ya nyuki mwilini.
Binafsi nahisi sio nyuki wa kawaida -- usiku nyuki atoke wapi?
Embu kwa wataalam naombeni ushauri juu ya hili.
Jana majira ya mbili usiku, nikiwa ofisini kwangu,ghafla nyuki akaning'ata katika mkona wangu wakushoto juu ya kiwiko binafsi siku muona kabisa ila nilihisi maumivu tu.
Cha ajabu leo nasikia harufu ya nyuki mwilini.
Binafsi nahisi sio nyuki wa kawaida -- usiku nyuki atoke wapi?
Embu kwa wataalam naombeni ushauri juu ya hili.