Huyu ni yule tuliyemsubiri au tuendelee kusubiri?

Nawasalimu kwa JMT.

Katika miaka 5 iliyopita hakuna rangi ambayo hatujaona.

Ni kipindi wafanyabiashara walihama nchi.

Kodi ilikusanywa kibabe na akaunti kufungwa.

Kesi za kubambikiziwa uhujumu uchumi zilitamalaki.

Wahitimu wa vyuo walisahau kabisa kuhusu ajira.

Watumishi waliambia sitaongeza mshahara wala kupanda daraja,

Tulilazimishwa kupiga makofi na vigelegele kwa jambo zuri au baya.

Wanasiasa wa upinzani waliota joto la jiwe.

Katika yote hayo mtendaji mkuu master akijiita mtetezi wa wanyonge, wakati wanyonge wakilala njaa na kuambiwa maneno kuwa barabara zinajengwa,ndege kununuliwa vitu vyote hivyo vinawahusu.

Mungu hana kamati akafanya maamuzi,magumu sana.

Awamu ya 6 ikaja na maneno mapya kabisa ya kutia moyo.

1. Sitaki kodi ya dhuluma

2. Vyombo vya habari vifunguliwe

3. Sitaki uongozi wa kunyanyasa watu isipokuwa haki itendeke.

4. Wafanyabiashara na wawekezaji watengenezewe mazingira rafiki.

5. Mahusiano mema na nchi jilani na jumuiya ya kimataifa.

NAENDELEA KUJIULIZA KATIKA YOTE HAYA JE

Huyu ndiyo tuliyemtarajia mkombozi wetu au tuendelee kusubiri!!!
Ndiye.
Ndiyeee.. .
 
Nawasalimu kwa JMT.

Katika miaka 5 iliyopita hakuna rangi ambayo hatujaona.

Ni kipindi wafanyabiashara walihama nchi.

Kodi ilikusanywa kibabe na akaunti kufungwa.

Kesi za kubambikiziwa uhujumu uchumi zilitamalaki.

Wahitimu wa vyuo walisahau kabisa kuhusu ajira.

Watumishi waliambia sitaongeza mshahara wala kupanda daraja,

Tulilazimishwa kupiga makofi na vigelegele kwa jambo zuri au baya.

Wanasiasa wa upinzani waliota joto la jiwe.

Katika yote hayo mtendaji mkuu master akijiita mtetezi wa wanyonge, wakati wanyonge wakilala njaa na kuambiwa maneno kuwa barabara zinajengwa,ndege kununuliwa vitu vyote hivyo vinawahusu.

Mungu hana kamati akafanya maamuzi,magumu sana.

Awamu ya 6 ikaja na maneno mapya kabisa ya kutia moyo.

1. Sitaki kodi ya dhuluma

2. Vyombo vya habari vifunguliwe

3. Sitaki uongozi wa kunyanyasa watu isipokuwa haki itendeke.

4. Wafanyabiashara na wawekezaji watengenezewe mazingira rafiki.

5. Mahusiano mema na nchi jilani na jumuiya ya kimataifa.

NAENDELEA KUJIULIZA KATIKA YOTE HAYA JE

Huyu ndiyo tuliyemtarajia mkombozi wetu au tuendelee kusubiri!!!
Mungu azidi kukuinua mkuu ,kuanzia leo lolote kwako lifunguliwe asema bwana , muhite hata mtume sawa , but mungu kakupa kibali ,thanks na barikiwa
 
Magufuli alikuwa zawadi ya Mungu kwa Watanzania.
Post inarushwa kwenye group inayomhusu ,,unajisikia kabisa kukosoa jambo lakini unakumbuka admin ametishiwa na sheria na polisi ,,hilo jambo unabaki nalo moyoni. Haya hayakuwa maisha bali utumwa.

Ndio maana baadhi wakamfitinisha na Mungu kwa kumwita jiwe ni yesu, mungu na wala hakushtuka aliendelea kujiona hivyo.

Pengine ulikuwa ni mmoja wa watesaji,, siwezi jua.
 
kwa kweli binafsi naona ni mapema mno!

Ila...

Ombi langu ni kuwa mazingira yawe rafiki lakini kila pande itambue wajibu wake! Unaweza kwenda kwa mtu na sura rafiki alafu akauona lofa. Kwani miaka ya nyuma ni kama watu walijisahau wengine waliamini kuwa kiongozi kama JPM hatowahi kutokea katika nchi hii matokeo yake mambo yakawa ndivyo sivyo!

Bado mapema ila nina imani asipoingiliwa na watu, huenda akawa ndiye!
 
Magufuli alikuwa zawadi ya Mungu kwa Watanzania.
Kuna pahala tuliomkosea mungu akaamua kutuletea laana kwa ujio wa hyu mtu, bt baada ya mateso kuzidi na watu wakajirudi kwa kuomba toba na msamaha kwa mungu akasikia na kutuondolea hii laana. Hallelujah, hallelujah ameeeeeeeeen.
 
Kuna pahala tuliomkosea mungu akaamua kutuletea laana kwa ujio wa hyu mtu, bt baada ya mateso kuzidi na watu wakajirudi kwa kuomba toba na msamaha kwa mungu akasikia na kutuondolea hii laana. Hallelujah, hallelujah ameeeeeeeeen.
Kwa ufahamu wangu mdogo najua Kuna mengi yamejificha tusiyoyajua lakini muda utakavyozidi kwenda tutayajua na ndio sasa tutajua kuwa ilikuwa baraka au laana lakini kwa Sasa tuwe na staha tusimalize maneno tusije kesho tukaitwa kigeugeu
 
Kwa ufahamu wangu mdogo najua Kuna mengi yamejificha tusiyoyajua lakini muda utakavyozidi kwenda tutayajua na ndio sasa tutajua kuwa ilikuwa baraka au laana lakini kwa Sasa tuwe na staha tusimalize maneno tusije kesho tukaitwa kigeugeu
Muda utasema ukweli mkuu
 
Muda utatupa ukweli
kwa kweli binafsi naona ni mapema mno!

Ila...

Ombi langu ni kuwa mazingira yawe rafiki lakini kila pande itambue wajibu wake! Unaweza kwenda kwa mtu na sura rafiki alafu akauona lofa. Kwani miaka ya nyuma ni kama watu walijisahau wengine waliamini kuwa kiongozi kama JPM hatowahi kutokea katika nchi hii matokeo yake mambo yakawa ndivyo sivyo!

Bado mapema ila nina imani asipoingiliwa na watu, huenda akawa ndiye!
 
Back
Top Bottom