Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,239
- 113,613
Huyu mtu huyu....hususan kwa wale wahenga wa KLH News, sauti yake mbona kama imefanana na sauti ya head honcho wa Kijijini Leo Hii, Mzee Mwanakijiji.
Ni wewe mzee?
Ni wewe mzee?
Pona pona Yao Raisi atokee akiwa mzima wakija kutangaza Raisi amekufa , aisee itaonyesha maghufuli alikusanya kikundi cha wahuni tu pale juu ...🤣Yaani kitendo tu cha kuhoji Rais wetu yuko wapi? Au anaumwa? Tayari Mwigulu Nchemba anakukamata eti kwa kusababisha taharuki na pia kwa makosa ya kimtanadao!
As if Rais kama wanadamu wengine, hastahili kuumwa!! Hii Nchi imerudi sana nyuma kwenye maeneo mengi tangu 2016!
Huyu mtu huyu....hususan kwa wale wahenga wa KLH News, sauti yake mbona kama imefanana na sauti ya head honcho wa Kijijini Leo Hii, Mzee Mwanakijiji.
Ni wewe mzee?
Watu mna ma info ya hatari.Huyu ni bishop mpemba wa kanisa la kwa neema jijini Mwanza.yuko marekani Siku alikimbia nchi hii wakati ule wa sakata la nani mwenye dhamana ya kuchinja wanyama yeye akiwa upande wa wakristo na shekhe ilunga(rip) akiwa apande wa waislam kaliacha kanisa yuko zake Marekani.