Huyu ni nani?

Yaani kitendo tu cha kuhoji Rais wetu yuko wapi? Au anaumwa? Tayari Mwigulu Nchemba anakukamata eti kwa kusababisha taharuki na pia kwa makosa ya kimtanadao!

As if Rais kama wanadamu wengine, hastahili kuumwa!! Hii Nchi imerudi sana nyuma kwenye maeneo mengi tangu 2016!
 
Yaani kitendo tu cha kuhoji Rais wetu yuko wapi? Au anaumwa? Tayari Mwigulu Nchemba anakukamata eti kwa kusababisha taharuki na pia kwa makosa ya kimtanadao!

As if Rais kama wanadamu wengine, hastahili kuumwa!! Hii Nchi imerudi sana nyuma kwenye maeneo mengi tangu 2016!
Pona pona Yao Raisi atokee akiwa mzima wakija kutangaza Raisi amekufa , aisee itaonyesha maghufuli alikusanya kikundi cha wahuni tu pale juu ...🤣
 
Huyu ni bishop mpemba wa kanisa la kwa neema jijini Mwanza.yuko marekani Siku alikimbia nchi hii wakati ule wa sakata la nani mwenye dhamana ya kuchinja wanyama yeye akiwa upande wa wakristo na shekhe ilunga(rip) akiwa apande wa waislam kaliacha kanisa yuko zake Marekani.
 
Anaitwa Augustine mpemba muanzilishi wa kanisa la kwa neema jijini mwanza.ila iliikimbia nchi wakati mwanza kuna fukuto la dini ipi ina dhamana ya kuchinja.

Bishop mpemba alikua akisema wakristo wameruhusiwa kuchinja akitumia vifungu vya biblia na marehem sheikh ilunga akisimamia upande wa waislam kua ndo wanadhamana ya kuchinja kwa mujibu wa vitabu vyao.

Bishop mpemba alikua anatumia redio ya kwa neema FM kuhubiri haya mambo ya uchinjaji sana.nasikia aliikimbia serikali juu ya hili sakata.kanisa lipo mwanza ila bishop yuko zake marekani.kanisa lake ni jirani yangu kabisaaa
 
Huyu ni bishop mpemba wa kanisa la kwa neema jijini Mwanza.yuko marekani Siku alikimbia nchi hii wakati ule wa sakata la nani mwenye dhamana ya kuchinja wanyama yeye akiwa upande wa wakristo na shekhe ilunga(rip) akiwa apande wa waislam kaliacha kanisa yuko zake Marekani.
Watu mna ma info ya hatari.
He is a smart man
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom