Mimi kwenye hilo tangazo nilipenda tu mandhari ya hilo soko, natamani masoko yote nchini yangekuwa yamepangiliwa kama hivyo, na usafi wa hali ya juu kiasi hata mvua zikinyesha panaendeka vizuri tu
Mimi kwenye hilo tangazo nilipenda tu mandhari ya hilo soko, natamani masoko yote nchini yangekuwa yamepangiliwa kama hivyo, na usafi wa hali ya juu kiasi hata mvua zikinyesha panaendeka vizuri tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.