kukumsela
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 721
- 907
Naomba kuuliza huyu kwenye hii picha ni hapa chini ni nani? Yupo nchi gani
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Naomba kuuliza huyu kwenye hii picha ni HAPA chini ni nani? Yupo nchi ganiView attachment 2721651
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Nimekutana naye njiani katoka buchani kununua kitimoto 😂😂😂😂Kafanyaje kwanza tuanzie hapa
Ni mwanamke ambaye kichwani yuko vema. Ukiingia kichwa kichwa kwenye mijadala yake anaweza kukuwin kisaikolojia hadi ukachanganyikiwa. Anaijua vema saikolojia.Ni mtu mzuri tu....ni vile tu wewe utavyomtumia
AahaaaaNimekutana naye njiani katoka buchani kununua kitimoto 😂😂😂😂
Huyu ni Kemikimba. Na ndo katumbuliwa. Wangapi mlikuwa mnajua kama yule ndio Faizafox? Ndo ishavuja Tehe tehe teheeNaomba kuuliza huyu kwenye hii picha ni HAPA chini ni nani? Yupo nchi ganiView attachment 2721651
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Ni mzee sana huyu...wakati Tanganyika inapata uhuru alikuwa mkubwa anacheza 'mdako' .I mmama wa makamo
Ni mwanamke ambaye kichwani yuko vema. Ukiingia kichwa kichwa kwenye mijadala yake anaweza kukuwin kisaikolojia hadi ukachanganyikiwa. Anaijua vema saikolojia.
Na uhakika ana kitabu cha kadana (Canadian passport). Na ni mkazi wa jimbo la Alberta mji wa Edmonton ama Calgary. Kwasababu kipindi cha nyuma jamvin alikuwa akijisahauna kuchomekea personal life. Vijana wa mjini tukawa tuna analyse tu.
Huyu ni shosti wangu mguse anukeNaomba kuuliza huyu kwenye hii picha ni HAPA chini ni nani? Yupo nchi ganiView attachment 2721651
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Kiukweli nimetokea kumpendaHuyo ni binti maulana. Mwanamama msomi anaijua vema saikolojia.
She was a teenager in 1980s
Zamani jamvin alikuwa na avatar picha kama iyo ya huyo mwanamama ila kwa nyuma alisimama mwanaume flani hivi. Akaibadilisha 2017 akaiweka hii
Natamani sana kumfaham FaizaFoxy .Aje atuambie huyo ni nani kwenye avatar picha?