Huyu ni mnyama wa aina gani?

Mgirik

JF-Expert Member
Apr 27, 2013
13,204
13,183
Nmeikuta mahali kuhusu huyu mnyama.
Ni mnyama anafanana na Kobe lakn anatoa sauti kama binadamu anayelia.

Inasemekana anapatikana Africa na America pia inasemekana anashinda sana makaburini akila mizoga ya binadamu.

Inasemekana kwamba akiwa anakula nyama za binadamu makaburini akihisi binadamu anakuja anaanza kutoa sauti ya kilio kama cha binadamu na binadamu akisikia sauti kama hyo makaburini anakimbia na hivyo kumwachia yeye mwanya Wa kuendelea kula mzoga bila wasiwasi wowote..

Naomba wale wajuvi Wa mambo kama Mshana Jr tuelezee vzr
 
Hiyo sauti ni ya ku edit huyo ni jamii ya kobe maji(turtle) anayejulikana kama ALLIGATOR SNAPPING TURTLE anaishi kwa kula vyakula anacvyokula kobe maji yeyote na si MAITI ZA BINADAMU .
Nashauri tusiamini kila kitu cha mtandaoni.
Screenshot_2019-08-07-23-56-12.jpg
 
Hiyo clip imetengenezwa na hadithi ni ya kutunga
Hiyo sauti haihusiani kabisa na huyo mnyama

Huyu mnyama anaitwa kwa jina Alilopewa ni Alligator snapper na hapatikani Africa bali yuko America na maisha yake ni kwenye maji matamu kama mito na maziwa
Sasa iweje akashinde makaburini?
Uongo mwingine bwana
 
Hiyo sauti ni ya ku edit huyo ni jamii ya kobe maji(turtle) anayejulikana kama ALLIGATOR SNAPPING TURTLE anaishi kwa kula vyakula anacvyokula kobe maji yeyote na si MAITI ZA BINADAMU .
Nashauri tusiamini kila kitu cha mtandaoni.View attachment 1175025

Mkuu halafu ukiona inavyo trend huwezi amini na wengi wameamini
Namjua huyu kiumbe na mdomo wake una nguvu ya ajabu anaweza kukata mguu kwa pigo moja tu
 
Nmeikuta mahali kuhusu huyu mnyama.
Ni mnyama anafanana na Kobe lakn anatoa sauti kama binadamu anayelia.

Inasemekana anapatikana Africa na America pia inasemekana anashinda sana makaburini akila mizoga ya binadamu.

Inasemekana kwamba akiwa anakula nyama za binadamu makaburini akihisi binadamu anakuja anaanza kutoa sauti ya kilio kama cha binadamu na binadamu akisikia sauti kama hyo makaburini anakimbia na hivyo kumwachia yeye mwanya Wa kuendelea kula mzoga bila wasiwasi wowote..

Naomba wale wajuvi Wa mambo kama Mshana Jr tuelezee vzr
View attachment 1174903
Ni kweli. Kuna mdau kashauri tusiamini mambo kirahisi. Hii video imekuwa edited na habari yake iko hapa.
 
Wale wale, atakata vipi mguu kwa pigo moja tu? umewahi kumuona kwa macho yako kabisa? au umeona hadithi na video za kupikwa?

Mkuu jiongeze basi kama humjui pitia hata YouTube’s za clip zake
Mimi sijamuona kwa macho bali nimeangalia jamaa wakimtoa kwenye mto huko America kwenye geographic channel na wakamwekea mti mdomoni akaukata kwa pigo moja

Ila la kulia ni uongo kabisa na sijui unabisha nini hapo sijaelewa kabisa

Kama hujui kitu nenda kajiridhishe kwa kusoma kwanza halafu unakuja na hoja iliyoshiba have a nice day
 
Mbona kama kuna jitu zima binadamu ndiyo linalotoa hizo sauti...

Ila kwenye Natinal Geographic wanaelezea tafauti kuhusu huyo mnyama...

Ni aina ya kobe au jamii ya kobe anayependa kukaa chini ya maji muda mwingi akiwinda samaki...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom