Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,135
Waziri mkuu wa Denmark yupo nchini kwa ziara. Hivi ni mgeni wa CCM au wa Serikali?
Safari_ni_Safari huyo naona kaja kutalii tu, ila CCM wanataka kum'binafsisha
Safari_ni_Safari huyo naona kaja kutalii tu, ila CCM wanataka kum'binafsisha
Wazee wa ubinafishaji,wamebinafisha vitu vyote, sasa hadi wageni wakifika wanabinafishwa?loll!
Hapo anasema kimoyoni moyoni "haya mazombi ya wapi!! Yanataka yaninyonye damu nini?"
dah!nimechekaa sana mkuu!mpaka humu ofisini wananishangaa!
dah!nimechekaa sana mkuu!mpaka humu ofisini wananishangaa!
Swali zuri sana laiti kama wahusika wangelisoma.....Hivi, Watanzania tu-wakarimu sana au hatuna kazi ya kufanya?!
CCM ndiyo yenye sirikali na sirikali ndiyo CCM-kwa hiyo ni mgeni wa serikali ya gambaWaziri mkuu wa Denmark yupo nchini kwa ziara. Hivi ni mgeni wa CCM au wa Serikali? Ila mimi nimependa visuruali vyake we aacha tu
![]()