Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,551
- 6,110
Uzi tayari.
Kaka yake Kasie
Yaaw... Billie yaani wewe na Watu8 jioni hii mmenisababishia madhara....
Huyo sio kaka yangu ni binamu bin shemeji....
Ila macho uanafaidi aiseeh, ukiitazama tuu udenda unatoka. Habari ya kuwa inafanya kazi au laah hiyo ni issue ingine ya baadae.
Sasa na hii hali ya hewa.... Waalahh mnahusika moja kwa moja na mtawajibika kwa madhara mliyonisababishia....
Hapo kwa wanaume tunawaambia, HOKD WHAT YOUR PAPA GAVE YOU... Aahahahahaahahaa
Sawa na wadada wenye vifungashio wanavyoambiwa SHAKE WHAT HOUR MAMA GAVE YOU....
Kasie Mavurugu...
mhhhHahahah...! Mbona nasikiaga ni joka la kidisa..
Aisee dada@Kasie umenitoroka kwenye mada kwa kumkana kaka yako kisa tu udenda umekutoka baada ya kuona dushe bro Fid package aliyonayo humo kwenye boxer inazidi kutupa sifa wasukuma.
Yaaw... Billie yaani wewe na Watu8 jioni hii mmenisababishia madhara....
Huyo sio kaka yangu ni binamu bin shemeji....
Ila macho uanafaidi aiseeh, ukiitazama tuu udenda unatoka. Habari ya kuwa inafanya kazi au laah hiyo ni issue ingine ya baadae.
Sasa na hii hali ya hewa.... Waalahh mnahusika moja kwa moja na mtawajibika kwa madhara mliyonisababishia....
Hapo kwa wanaume tunawaambia, HOKD WHAT YOUR PAPA GAVE YOU... Aahahahahaahahaa
Sawa na wadada wenye vifungashio wanavyoambiwa SHAKE WHAT HOUR MAMA GAVE YOU....
Kasie Mavurugu...
Billie.... Kipindi chote hiko mie nakuzimikia kichinichini mie najua wewe ni afkast wa kizungu kumbe msukuma orijinaleeee...... Looh kwanini hukusema mapema sasa...???
Yaani Fid kanichanganya wallah.... Kibomba kimeshashurutishwa mara mbili baade ntaendelea tena cha tatu na nne aaaahahahahahhahahaa.
Masinde Mahaba.
Na wewe Kasie utahusika moja kwa moja na madhara uliyonisababishia na hii comment yako.Yaaw... Billie yaani wewe na Watu8 jioni hii mmenisababishia madhara....
Huyo sio kaka yangu ni binamu bin shemeji....
Ila macho uanafaidi aiseeh, ukiitazama tuu udenda unatoka. Habari ya kuwa inafanya kazi au laah hiyo ni issue ingine ya baadae.
Sasa na hii hali ya hewa.... Waalahh mnahusika moja kwa moja na mtawajibika kwa madhara mliyonisababishia....
Hapo kwa wanaume tunawaambia, HOKD WHAT YOUR PAPA GAVE YOU... Aahahahahaahahaa
Sawa na wadada wenye vifungashio wanavyoambiwa SHAKE WHAT HOUR MAMA GAVE YOU....
Kasie Mavurugu...
Na wewe Kasie utahusika moja kwa moja na madhara uliyonisababishia na hii comment yako.
Hivi unajua demu wangu yupo mbali atiii!
DuhHahahah...! Mbona nasikiaga ni joka la kidisa..