huyu nurse wako ni mjinga tuu maana anadhani kupima siku moja kunaweza kuwa ushahidi wa kutokuwa HIV/AIDS.
HIVI HUYU NURSE GANI HANA HATA ELIMU JUU YA HIVAIDS?
Nimekuwa kwenye urafiki na nesi flani kwa muda mrefu,nikiwa na kawaida ya kumtembela nyumbani kwake tunapiga story,mwisho ikataokea uhusiano flani hivi usio rasmi.
Nikawa napata chakula nyumbani kwake time ya kuondoka napiga lita kama kawaida ila anakataa kunipa ile kitu inameza mwenzio.
Juzi tu nikaenda kwa kujitoa akili kabisa nimepiga kiroba jogoo yangu nae hakuonyesha kubana akanipa ushirikiano mpaka tukabaki kama Mungu alivyotujalia kutuumba,nia yangu nilitaka nipige ndizi nyama mara nikasikia ohh subiri kidogo nikauliza nn shida?n
Naomba tutest,nikauliza nn tutest?akajibu HIV na vipimo ninavyo,nikamwambia hamna shida,wakati anainuka kwenda kabatini kuchukua kipimo nikaanza kuvuta matukio yote niliyopiga ya hatari akili ikanituma hiyo kitu siwezi alivyorudi kitandani akajitoboa mwenyewe na kuweka damu kwenye kipimo baadae akaniomba mkono nikamjibu naomba nipe hicho kipimo nikapime nyumbani kwangu majibu yakiwa mazuri nitarudi,nikavaa nguo zangu na kuondoka mpaka sasa hivi sijapima na wala sijamtafuta hewani,majibu yake yeye yalikuwa poa.
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
Ehhh vipi Jamaa mbishi!!
Nimekuwa kwenye urafiki na nesi flani kwa muda mrefu,nikiwa na kawaida ya kumtembela nyumbani kwake tunapiga story,mwisho ikataokea uhusiano flani hivi usio rasmi.
Nikawa napata chakula nyumbani kwake time ya kuondoka napiga lita kama kawaida ila anakataa kunipa ile kitu inameza mwenzio.
Juzi tu nikaenda kwa kujitoa akili kabisa nimepiga kiroba jogoo yangu nae hakuonyesha kubana akanipa ushirikiano mpaka tukabaki kama Mungu alivyotujalia kutuumba,nia yangu nilitaka nipige ndizi nyama mara nikasikia ohh subiri kidogo nikauliza nn shida?n
Naomba tutest,nikauliza nn tutest?akajibu HIV na vipimo ninavyo,nikamwambia hamna shida,wakati anainuka kwenda kabatini kuchukua kipimo nikaanza kuvuta matukio yote niliyopiga ya hatari akili ikanituma hiyo kitu siwezi alivyorudi kitandani akajitoboa mwenyewe na kuweka damu kwenye kipimo baadae akaniomba mkono nikamjibu naomba nipe hicho kipimo nikapime nyumbani kwangu majibu yakiwa mazuri nitarudi,nikavaa nguo zangu na kuondoka mpaka sasa hivi sijapima na wala sijamtafuta hewani,majibu yake yeye yalikuwa poa.
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
Seriously??!!! Kwenye afya au uzinzi?
halafu nesi hajui kama ndizi zinaongeza nanilii...
Taratibu basi naona unatoka cheche..karibuni utalipuka...Ndio wengi walivyo na sababu kubwa ni kwamba hawajatulia wanaendekeza ngono zembe na wana msururu wa wapenzi..Lazima mtu uogope!!Huyu jamaa mpuuzi kweli, yaani anaona sifa kutopima ngoma na kujisifia madhambi aliyokuwa anafanya huko nyuma. Sasa anamkomoa nani? Hebu fikiria, ama wewe mimi49 jiweke kwenye nafasi ya huyo nesi (mshikaji wa huyu jamaa) utajihisije kama mtu wako anakufanyia hivi? Yaani hataki kupima ngoma kwa kuwa anaogopa, then unampa vipimo anakataa kupima kuhofia kujua afya yake. Si ni upuuzi huu? If this guy is dating my sister, I swear I will cut his balls off.
'Bado nafikiria nikikuta hali mbaya nitafanyaje si bora niendelee kuishi bila kujua status yangu.
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
Kababi, ni muhimu sana kujijua ili hatua stahiki zifuatwe, kinyume na hapo mimi husema ni ushanba'Bado nafikiria nikikuta hali mbaya nitafanyaje si bora niendelee kuishi bila kujua status yangu.
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
hebu hapo kwenye naniii funguka vizuri nichukue notsi...:ranger:
kuna maneno nimeshindwa kuyaelewa kupiga ndizi nyama?
Kupiga ndizi manake ni kuuza uraia yaani kupiga bila condom.
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
vipi nikupe namba ya huyo nesi?:tape:
hahahaaaaaa hahaaaa nimecheka sana pima mkuu ukweli utakuweka huru ndugu ila punguza kucheza rafu,ila ukiujua ukweli utakuwa huru zaidi
Je kama umeathirirka pia utakuwa huru?????