Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 18,470
- 42,601
🤣🤣🤣🤣🤣Kuna mda anaweza akaja yuko tungi, ataanza kuorodhesha nchi kibao hapo za kwenda,
🤣🤣🤣🤣🤣Kuna mda anaweza akaja yuko tungi, ataanza kuorodhesha nchi kibao hapo za kwenda,
Asa ataishije kijana mkubwa hivyo bila kipatoHuyo hatakiwi kuwa na kipato, akiwa nacho Ni shida. So solution Ni kutokuwa na hata Senti.
Ila kweli,Mpeleke shule,anaonekana anapenda kusoma ndo maana akilewa anaandika andika chini.
VizingaPesa ya kunywa anatoa wapi
Mpeleke shule,anaonekana anapenda kusoma ndo maana akilewa anaandika andika chini.
dawa ipo ila unaelekezwa unamtengenezea ww mwenyewe na inachanganywa n pombeHamjambo???
Niende kwenye mada;-
Nina ndugu yangu wa kiume(27) , yani ni mlevii haifai, akishaanza kunywa atahakikisha anakunywa hadi pesa aliyokuwa nayo inaisha yote.
Sasa aibu inakujaje;? Akishalewa kwanza anakuwa na maneno flan yasiyofaa,ya hovyo hovyo, ya aibu aibu yakutia aibu sana
Akilewa tu yan ni lazima aje eneo langu La biashara kupiga vizinga ama kuzuga hapo kisha anaondoka, ataongea ongea hapo maneno ya ovyo ovyo, Mara alale chini, Mara aandike andike chini, yan ni shida.
Kama kuna mtu yeyote anayefahamu dawa ya kuacha pombe aje atusaidie wapendwa wetu nao waache coz wanashindwa hata kufanya maendeleo,kipato choote kinaishia kwenye pombe.
Nauza mikate! Nauza mikate!nlikuwa na ndugu alikuwa mlevi chakari , siku moja nlipomchoka nlipanga njama na rafiki ninayemwamini kufa , tulimtegea njiani , tulichukua mix ya mayai viza na santo , alikuwa na tabia ya kulala njiani , usiku alipopitwa tulimpaka kwenye matacore na suruali , bro alipogutuka kesho alijua mpaka leo kwamba aliliwa tigo kulingana na harufu , yeye na pombe hadi leo ni maadui wakubwa
Unasema kweli Mshana hata mimi nina ndugu yangu yuko kwenye late 40s yani pombe imemtoa kwenye reli hadi kazi kafukuzwa afya yake mbaya. Sasa hivi anaishi na mama yake anamlea kama mtoto tu maana yeye ni kula kulala watoto asomeshewe hana hata wazo lolote akiumwa atibiwe akipata pesa kidogo pombe tu.Hilo ni pepo muombee sana maana halitamuua lakini litamkosesha mengi
Hii ni tamu sana.akizima, shusha trauza kisha mpasulie yai kwa a$$Crack, utanishukuru
Mtu anakunywa mpaka anajamba hovyo barabaranii???Mwache mtu apige mifumo asipokunywa pombe anywe nini?
MkUU, Huyu sio ndugu yako unamuombea Ushauri dawa ya kuacha pombe, huyu ni wewe unazunguka zunguka kijanja upate ushauri wa namna ya kuacha pombe!Hamjambo???
Niende kwenye mada;-
Nina ndugu yangu wa kiume(27) , yani ni mlevii haifai, akishaanza kunywa atahakikisha anakunywa hadi pesa aliyokuwa nayo inaisha yote.
Sasa aibu inakujaje;? Akishalewa kwanza anakuwa na maneno flan yasiyofaa,ya hovyo hovyo, ya aibu aibu yakutia aibu sana
Akilewa tu yan ni lazima aje eneo langu La biashara kupiga vizinga ama kuzuga hapo kisha anaondoka, ataongea ongea hapo maneno ya ovyo ovyo, Mara alale chini, Mara aandike andike chini, yan ni shida.
Kama kuna mtu yeyote anayefahamu dawa ya kuacha pombe aje atusaidie wapendwa wetu nao waache coz wanashindwa hata kufanya maendeleo,kipato choote kinaishia kwenye pombe.
SASA MAISHA YAKE ATAENDESHA VIPI?Huyo hatakiwi kuwa na kipato, akiwa nacho Ni shida. So solution Ni kutokuwa na hata Senti.