Huyu ndo Mh. James Lembeli

Huyu ndo Mh. James Lembeli




  • APN_001916_2.jpg
    Mr James Lembeli | Board Member
    James Lembeli was educated in Tanzania and completed his Diploma in Journalism. He is currently studying for his MA in Communication through Leicester University, UK. He started his career as a Bank Clerk with the Central Bank, then as a journalist with Kiongozi Newspaper. James was then appointed as Public Relations Officer for the Co-operative Union of Tanzania before moving to Germany where he was presenter/editor for Radio Berlin International, and then Radio Deutsche Welle. From March 1994 until 2005 James was appointed as Chief Manager for Public Relations for Tanzania National Parks. Since 2005 James has served as a Member of Parliament.
 
Wanasiasa wa CCM ni wajasiliamali wa rasilimali za Tanzania. So Lembeli is no bad is no good, ni reflection tu ya wenzake.
 
Kuku ni kuku tu, jogoo jina. Usitegemee mtu wa c.c.emu afanye jambo lililo la maana kwa wananchi wakati kauli mbiu yao ni matumbo kwanza wananchi baadae
 
Kwa muda mrefu watu wamekuwa wakimuona Mh. Lembeli kama 'Jembe' mtu anayesimamia haki na uwajibikaji. Lakini ukweli si hivyo. Lembeli ni Fisadi kama walivyo mafisadi wengine. Lembeli ni mtu anaepinda kulazimisha mambo, na kama issues zake zisipo kubaliwa basi huanzisha vita vya na hataimaye kufanya kila fitina ili ung'olewe katika nafasi yako. Bahati mbaya ana ushawishi mkubwa ndani ya kamati yake. hata wajumbe wenzake kwenye kamati hawajui kuwa anawapelekesha kucheza ngoma wasiyo ijua.

Kuthibitisha ufedhuli wa huyu Mh. Hebu oneni hii. Lembeli ni Moja ya wakurugenzi wa kampuni ya African Parks Network. Kampuni ambayo ilitaka ipewe Serengeti na Selous ili waziendeshe wao (Manage), Kwa style ile ya Net Group Solution. Yaani tanapa na idara ya wanyamapori, wakae pembeni, wao ndo wa-manage kukusanya mapato na baadae kuigawia serikali na Tanapa mgao wao kwa mujibu wwa makubaliano. Mawaziri wote waliopita hawakukubaliana na ombi hili pamoja na lobying zoote ambazo zimekuwa zikifanywa na Lembeli.

Baada ya Nyalandu kuingia madarakani, Lembeli akaonekana sasa anaweza kufanikiwa. Ndipo Nyalandu aliposhauri apewe Katavi kwanza kwa majaribo na kama mambo yakienda vizuri ataongezewa na Nyingine. Nyalandu na Lembeli wanaonekana kupatana sana kwa sababu, Pia Nyalandu anataka kampuni ya TGTS ambayo ana uhusiano nao wa karibu wapewe eneo la Mwiba linalopakana na Game Reserve ya Maswa ili walibadilishe kuwa shamba la wanyama pori la private, yaaani private wildlife farm, kinyume na sheria. Lengo la kuwaondoa wakurugenzi ma prof wa sua, ni kwa sababu walikataa kata kata kamwe hawatasaini hiyo kitu.

Kama hawa watu wawili wakiachwa kwa kipindi cha mwaga mmoja zaidi, wataivuruga wizara na kuleta matatizo makubwa kwa inchi. Ushahidi wa Lembeli kuwa moja wa madairekta wa kampuni hiyo huu hapa. Kwenye website yao wenyewe wamemuweka. Mtu wa tano kwenye hii link ya website yao; African Parks Network (Johannesburg, South Africa)

Ngoja nikusanye data za Lembeli na Madudu ya Nyalandu nirudi kuchangia hoja hii nzito!
 
Kagasheki ni mchafu lakini alikuwa ametusaidia sana na tembo jamaa alikuwa akilinda masilahi yetu. Mimi nilijua tu. Lembeli alikuwa na issue zake ile ni moja ya wizara Ngumu sana kuliko zote nazani. Kuna rasilimali za watanzania zinanufaisha hata wasio wazawa ni wizara ambayo inaweza kutoa umaskini wetu. Lakini nchi hii tulivyo wabinafsi yaani utazani tumerogwa na aliyeturoga amekufa angekuwepo angetuonea huruma. Tumekuwa kama abiria tuliolizia dereva aliye lewa chakali ndo atuendeshe hatuna uhakika na maisha yetu kabisaaa
 



  • APN_001916_2.jpg
    Mr James Lembeli | Board Member
    James Lembeli was educated in Tanzania and completed his Diploma in Journalism. He is currently studying for his MA in Communication through Leicester University, UK. He started his career as a Bank Clerk with the Central Bank, then as a journalist with Kiongozi Newspaper. James was then appointed as Public Relations Officer for the Co-operative Union of Tanzania before moving to Germany where he was presenter/editor for Radio Berlin International, and then Radio Deutsche Welle. From March 1994 until 2005 James was appointed as Chief Manager for Public Relations for Tanzania National Parks. Since 2005 James has served as a Member of Parliament.

Amemaliza Diploma na sasa anasomea Masters?
R.I.P me.......
 
Yapo mengi tuu ya nyalandu aliyoyafanya lakin kwa kuwa Mkuu wa NCHI hataki MAONI yenu nyie ongeeen halaf mkae kimya lakin hakuna mabadiliko katika hayo mnayotaka yawe
 
Hapana mkuu! wapo wasafi wachache saana.
Ni hawa wachache ndio hutoa siri za kiovu za ndani
 
Back
Top Bottom