sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,272
- 7,871
Mkuu kungekua na somo la kufananisha sheleni wallah ungepata mswaki , yaani kabisa unapata ujasiri wa kusema kua chui hafanani na paka , duuuhHata chui hafanani na paka ila ni jamii ya paka
Mkuu kungekua na somo la kufananisha sheleni wallah ungepata mswaki , yaani kabisa unapata ujasiri wa kusema kua chui hafanani na paka , duuuhHata chui hafanani na paka ila ni jamii ya paka
Sio hao huyu kawafananisha.
Kicheche yupo kama nguchiro ila yeye ni mrefu kwenda juu na mkia ni mrefu pia na ana mwili vile vile kidogo angefikia mbwa (yule wa size ya kati)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo hata kuku havili ndio kwanzaa wanacheza naoHapo nimekuelewa boss
Nilishangaa maana hao wapo sehemu nyingi sana duniani hata hapa garden kwangu wapo
Si kweli huyu ni squirel, kicheche ni mkubwa zaidi ya huyu.Kicheche ni mnyama jamii ya paka, mnyama huyu hujihami kwa kutoa harufu mbaya aonapo maadui, kicheche ni mnyama pekee ambaye hawezi kuishi bila kufanya mapenzi, kicheche hufanya mapenzi Mara 60 kwa saa,kicheche jike hawezi ishi bila kula shahawa za kicheche dumeView attachment 1847606
X 60 kwa saa, saa inazo dakika 60.Ni urongo
Kwa hiyo kicheche hakamati kuku??.Mleta mada acha uongo.
Kicheche hali kuku na hawezi kula kuku maana ana umbo lililomzidi panya kidogo sana.
Bahati nzuri uliposema anajihami kwa kutoa harufu mbaya ndio nikaelewa ulitaka kumaanisha nini.
Mnyama anaekula kuku na kujihami kwa kutoa harufu mbaya tunamfahamu kule Rombo kwa jina la (kichorang'i).
Huyu ana mbwembwe nyingi maana anaweza kuja na jani la mgomba ili kuku asijue kama ni adui yake... Anatanguliza jani la mgomba lililokauka alafu yeye anakua nyuma kumdaka kuku