Huyu ndo kicheche

Hawa watoto wa mjini bwana wanataka kutudanganya .... Huyo ni kicheche wa aina gani ???
 
Mleta mada acha uongo.

Kicheche hali kuku na hawezi kula kuku maana ana umbo lililomzidi panya kidogo sana.
Bahati nzuri uliposema anajihami kwa kutoa harufu mbaya ndio nikaelewa ulitaka kumaanisha nini.
Mnyama anaekula kuku na kujihami kwa kutoa harufu mbaya tunamfahamu kule Rombo kwa jina la (kichorang'i).
Huyu ana mbwembwe nyingi maana anaweza kuja na jani la mgomba ili kuku asijue kama ni adui yake... Anatanguliza jani la mgomba lililokauka alafu yeye anakua nyuma kumdaka kuku
 
Mleta mada acha uongo.

Kicheche hali kuku na hawezi kula kuku maana ana umbo lililomzidi panya kidogo sana.
Bahati nzuri uliposema anajihami kwa kutoa harufu mbaya ndio nikaelewa ulitaka kumaanisha nini.
Mnyama anaekula kuku na kujihami kwa kutoa harufu mbaya tunamfahamu kule Rombo kwa jina la (kichorang'i).
Huyu ana mbwembwe nyingi maana anaweza kuja na jani la mgomba ili kuku asijue kama ni adui yake... Anatanguliza jani la mgomba lililokauka alafu yeye anakua nyuma kumdaka kuku
Kwa hiyo kicheche hakamati kuku??.
 
Back
Top Bottom