Huyu ndo Katibu Mkuu wa CCM

Huyu ndo Katibu Mkuu wa CCM

Hapa inaonesha Jinsi ccm wanavyoutumia umaskini wetu watanzania kutuhadaa.............

Je watoto wakinana wanachezea gari /toy la aina hiyo?

Je watoto wa kinana wanatembea pekupeku kiasi hicho

Je watoto wa kinana wanavaa mavazi ya hovyo kiasi hicho? nk

Nani sababu ya mateso na umaskini wa hawa watoto ? nchi tajiri na ikiwa huru miaka 52?
Mkuu, kwani wewe ukiwa mtoto hukucheza michezo hiyo? Au wewe ni broiller. Ulikuwa unafungiwa tu chumbani na kulishwa.
 
Hawa ndio wenye nafuu kijiji kizima, na wenye adha ya kupinga picha na katibu mkuu. Angali huyo mtoto mmoja nafikiri maji kwake ni msamihati maana huo mguu.... Hawa ndio mtaji wa CCM.
 
Mkuu, kwani wewe ukiwa mtoto hukucheza michezo hiyo? Au wewe ni broiller. Ulikuwa unafungiwa tu chumbani na kulishwa.

Umeyaelewa haya maswali? nadhani elimu ya mulugo imekuathiri kiasi kikubwa, kama unahoja leta majibu ya maswali haya

hapa chini kwa mujibu wa picha kama inavoonekana.


quote_icon.png
By Balali

Hapa inaonesha Jinsi ccm wanavyoutumia umaskini wetu watanzania kutuhadaa.............

Je watoto wakinana wanachezea gari /toy la aina hiyo?

Je watoto wa kinana wanatembea pekupeku kiasi hicho

Je watoto wa kinana wanavaa mavazi ya hovyo kiasi hicho? nk

Nani sababu ya mateso na umaskini wa hawa watoto ? nchi tajiri na ikiwa huru miaka 52?


attachment.php
 
Mzee kinana akiwa na wajukuu zake Said (5) na Seif (6) , hawa wamefunga shule kule Uingeleza hivyo wamekuja kumsalimia babu yao kipindi hiki cha sikukuu za mwisho wa mwaka.

attachment.php

baada ya hapo ni nini kinafanyika juu ya watoto hao..ukizingatia ni umri wa kuwa shuleni. na anawafundisha kwa umri huo ni kuendesha madori
 
Pinda amesema anamsubiri afafanue kwa nini amemuita mzigo
 
Hawa ndio wenye nafuu kijiji kizima, na wenye adha ya kupinga picha na katibu mkuu. Angali huyo mtoto mmoja nafikiri maji kwake ni msamihati maana huo mguu.... Hawa ndio mtaji wa CCM.

Lakini anayewazaa watoto hawa? ni ccm au nyie wazazi?
 
Mzee kinana akiwa na wajukuu zake Said (5) na Seif (6) , hawa wamefunga shule kule Uingeleza hivyo wamekuja kumsalimia babu yao kipindi hiki cha sikukuu za mwisho wa mwaka.

attachment.php
Si iunganishwe na ile ya utoto raha.
 
Back
Top Bottom