Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,189
- 79,421
huyu anataka kurukia kabisa
mwingine huyu hapa na bi Lupembe
huyu anataka kurukia kabisa
mwingine huyu hapa na bi Lupembe
mwingine huyu hapa na bi Lupembe
Kwani kuwa Waziri ndio dance no?
Huyo demu ana bomba la DAWASCO limepasuka kwapani au vipi?
Mnashangaaa sasa hivi Mbona mwaka Jana Mwezi wa Sita tulikuwa tunacheza naye Akudo pale Jeshi Msasani Club ma Vibinti Kibao anakuwaga na Vijizi vikina Mwopao, Ndama Mtoto wa Ngombe, Predeshe Papa Msofe pamoja na vijana wengine Makuadi wa wasichana na wake za watu, mze huyu Gazeti la Ijumaa lilikuwa linamlinda akiwa waziri sasa katemwa eti ndio wanampiga picha namshangaa Eric Shigo... kwa kumuandika leo hii. Mimi nishaacha kwenda Miziki sijui yeye anaendelea maana kesho natimiza 39 kamili
komba uchu umezidi..hao ndo waheshimiwa,bunge likistop ijumaa wao ni starehe mtindo mmoja wala hawakai kujisomea hotuba na kupanga hoja za next weekAgh mende komba , sijui hicho kidole mkono wa kushoto mh
Ndio maana wabunge makini kama alivyokuwa Dr Slaa na wengineo walikuwa wanawagaragaza kwa vile muda huo wanafanya ufuska wao wenzao wanafanya tafiti mbalimbali kwa manufaa ya waliowapa dhamana hiyo.komba uchu umezidi..hao ndo waheshimiwa,bunge likistop ijumaa wao ni starehe mtindo mmoja wala hawakai kujisomea hotuba na kupanga hoja za next week
Huyu ndiye Waziri (Sijui kama bado Waziri) katika serikali yetu. Dowans, matokeo mabaya ya F4 na matatizo kibao ya nchi, lakini jamaa anahangaika na vibinti. Hata kama ni muda wake binafsi na hata kama ni maisha yake binafsi nadhani huu sio muda mwafaka kwani kuna kilio kila mahala kutoka kwa wananchi wa nchi hii. Shame!!!!!