MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 8,222
- 6,716
M200shilingi ngapi kanunuliwa???
M200shilingi ngapi kanunuliwa???
ulishuhudiaM200
Angeshinda kama wasingegawana kura na wa Cuf,ni opportunity mkubwa,amekuja kugombea uenyekiti akishapata uwaziri.Kumbe ndo yule jamaa aliyegombea ubunge Tarime akabwagwa chini mwaka 2010,
huyo jamaa ni mwirege jirani yake na Nyambari Nyangwine huko Tarime.
Tutasikia mengiAngeshinda kama wasingegawana kura na wa Cuf,ni opportunity mkubwa,amekuja kugombea uenyekiti akishapata uwaziri.
True tunaikumbuka scenario hio,ila Jamaa ni ngangari Bila kumkwida msimamizi wa matokeo asibadilishe matokeo kwa msaada wa wakurya angeliwa kichwa.Hili jamaa ni pandikizi kitambo.Nilikuwepo kipindi kile cha uchaguzi,Rizmoko na Jerry slaa walikuwa wanajaribu kumuhonga aachie jimbo.Bila wakurya wa ukonga kutishia kuichoma nyumba yake alishakubali!
ndio maana alikaa kwanza na wazee wa kikuryaTrue tunaikumbuka scenario hio,ila Jamaa ni ngangari Bila kumkwida msimamizi wa matokeo asibadilishe matokeo kwa msaada wa wakurya angeliwa kichwa.
MPUUUZI SANA!!!!!!usiseme hivyo ndio maamuzi yake inabidi uyaheshimu
kwani chadema hawahudumii vzr mpaka wanalilia njaaTumbo mkuu...
Hii kitu inaitwa tumbo wachana nayo kabisa,
Hata ukipanga kwa tume na katiba hii,ni bure washindi tayari wanao,maana sanduku La kura haliamui mshindi. Ripot ya twaweza ni sahihi wengi wamefunjika moyo na kurudi nyuma kuhusu mambo ya siasa wameona sawa tu kila MTU apambane kivyake,kuliko kupangishwa foleni juani kutafutia chakula wengine. Hali ya siasa si wengi watashiriki kwenda kupiga kura chaguzi zijazo.Sijisumbui tena kupanga foleni kupiga kura *****
Kipi ambacho si Mali ya MTU binafsi, au chenye demokrasia,hapa nchini.Ogopa sana chama ambacho asilimia 90 ya viongozi wake ni ndugu, yani chama kimegeuzwa "FAMILY BUSINESS". Wakipewa nchi hawa ni hatari sana.
Historia ya marehemu husomwa wakati anaagwahaya maneno ndio tunayasikia baada ya kuhama ndio mnaanza kusema kuwa alikuwa hana ushawishi wowote
Pamoja na Kuhama chadema hawakufanya vetting ya kutosha. Inaonyesha Jamaa ni chavi kitambo sana
kwa hiyo unamfananisha na marehemu??Historia ya marehemu husomwa wakati anaagwa
Yanayo yanafurahisha fursa imeshatokea wenye meno wanaitumia, Wengi tu wako njiani moja,mmoja ashasema kabla ya 2019 chochote chaweza tokea na alishawahi kuwa listing.Hakuna mkate mgumu mbele ya Chai,uzalendo ulienda na Nyerere.Kukubalika kwa ccm ni pale itakopogusa basic needs za wanyonge, Zaid zingine ni drama.Tutasikia mengi
Aaah hapana kwa fasihi tu.Hata huku mitaani huwa hawamsemi mtu akiwepo ni baada ya kuondoka.Siasa sio static mwanasiasa uenda na upepo wa wakati husika,pale dhamira yake inapoguswa.
Sawa waache wananchi wachague wenyewe wawakilishi wao kwa haki wasiwachagulie.
Sawa mkuu, hao hawana hadhi tena ya kuongoza taifa. Ni bora hawa ambao makabila yote yamo chamani japo sio kwamba hawana madhaifu sio hawa ambao ni jamii moja na ubinafsi wao ndio tuwape nchi. Nasema haitatokea.Kipi ambacho si Mali ya MTU binafsi, au chenye demokrasia,hapa nchini.