Huyu ndiye Waitara aliyeikimbia CHADEMA

Huyu ndiye Waitara aliyeikimbia CHADEMA

Waitara kila alipotaka kujifanya mtu muhimu chadema haikuwezekana, sijawah kumsikia akitajwa kama mtu machachari japo ni Mkurya kumbe
 
Ogopa sana chama ambacho asilimia 90 ya viongozi wake ni ndugu, yani chama kimegeuzwa "FAMILY BUSINESS". Wakipewa nchi hawa ni hatari sana.
 
wewe watakushambulia maana huwa hawataki kusia maneno kama hayo

tapatalk_1522419229589.jpeg
 
Waitara kila alipotaka kujifanya mtu muhimu chadema haikuwezekana, sijawah kumsikia akitajwa kama mtu machachari japo ni Mkurya kumbe
haya maneno ndio tunayasikia baada ya kuhama ndio mnaanza kusema kuwa alikuwa hana ushawishi wowote
 
Unahama chama kisa unajiona hutaingia vikao vya maamuzi?

Unaenda chadema.

Unataka tena nafasi ya kufanya maamuzi unaikosa unarudi kule kule kwa mwanzo ambako ulikosa nafasi ya kufanya maamuzi.

Kwamba sisiemu watakuacha uwe mwenyekiti?

Kuna swala kubwa kuliko tunaloonyeshwa
Tumbo mkuu...
Hii kitu inaitwa tumbo wachana nayo kabisa,
 
Kumbe karudi nyumbani aangalie sasa asimwambie mwenyekiti ampishe kiti atatolewa dirishani.
 
Aliondoka CCM kwa sababu za kitoto sana...! Ila alipigana sana kupata Elimu
 
Back
Top Bottom