neema shamuhenya
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 312
- 216
- Thread starter
- #21
Usaliti ni laana
Usaliti ni laana
yumbani kwaoKwao kumenoga
Hata kama maamuzi yakipuuzi?Kwa hiyo hata kama angeamua kujinyonga kwa sababu wewe kwako ni sawa tu!usiseme hivyo ndio maamuzi yake inabidi uyaheshimu
kwa nini??? kwani alizaliwa na CHADEMA???Hii mura inatuaibisha bhana
Swala sio chadema au CCM .Swala hapa ni wananchi waliompa ridhaa ya kuongoza na yeye kuwasaliti akiwemo Mimi.Halafu kwenye vikao vya kampeni wananchi walikuwa wanachangishana kumsapoti alikuwa hana hata ndururu.Kwa mantiki hiyo anataka na Mimi nirudi Dar kupiga kuradar wakati nimesafiri Niko mbali.Huyu mkurya ni poyoyo kabisa sijui kala maharage ya wapi!kwa nini??? kwani alizaliwa na CHADEMA???
punguza B.P na juiceMaelezo mareeefu kumbe hovyoooooo nfyuuuuuuuuuuuui!
kweli kabisa kabisa maisha siyo mchezoAmetoka mbali kumbe
Wed ovu ze deiNikukosoe kidogo: sema hivi, "kwa nini waliteua....."
Hata mke aweza kugeuka malaya hasa anapopenyezewa ngawira, ogopa mtu anayetanguliza tumbo lake, hata mwanao anaweza kukusaliti, halafu utakuja hapa unauliza tena, kwa nini ulimzaa kama ulijua atakusaliti! Think big!
safiNaheshimu njia aliopitia kielimu.
kwa nini???Stori yake haivutii