Huyu ndiye Waitara aliyeikimbia CHADEMA

Huyu ndiye Waitara aliyeikimbia CHADEMA

Mura Mwitaa umeniangusha sana aisee; yaani tumekesha wote baridi inapiga hadi kunakucha wanakutangaza mshindi Mura; leo umetufanyaje
 
Sekondari alikua anaitwa jeba!!
Kagombana sana na makondakta Wa daladala.
 
'Wakurya wana Msimamo Sio Kama Hawa Wandengereko kina Maulidi Mtulya'- Great Thinkers uchwara wa JF
Hivi unafikiri kwa kutumia nini? kwani alichofanya hiyo mkuria wako na mndengereko wetu tofauti yao nini? Au ubwege wa kusifia mwanya wakati ni pengo?
 
Hivi unafikiri kwa kutumia nini? kwani alichofanya hiyo mkuria wako na mndengereko wetu tofauti yao nini? Au ubwege wa kusifia mwanya wakati ni pengo?

Read between lines

Mie nime quote tu Maneno ya Great thinker Uchwara
 
Nimemskia huyu Waitara akiwa kwenye kampeni Kakonko bure kabisa.Anaongea pombe!
 
ili kelel ziishe sheria ibadilishwe tu mtu ahame na ubunge wake udiwani wake kwenda chama anachokitaka hata nkama anahamia cck
 
Back
Top Bottom