Hii kiboko kwa dar huyu hafai aisee maana atasababisha foleni sana watu watakuwa hawatembezi magari watakuwa wanataka kuona tu hii burudani ya trafiki na kucheka hahahaha, amenichekesha sana ila anaonekana anafanya sana mazoezi duh, ila hawa wa kwetu na vitambi vyao wataweza kweli hii kitu?