Huyu ndiye Ruge ninayemfahamu!

Huyu ndiye Ruge ninayemfahamu!

Hahahahahaha kwanini alitokea mlango wa Chooni alipoitwa na ile tume??Nimeamini kweli kabisa alitaka kuwaweka wale vijana ndani kwa kuwasingizia madawa ya kulevya. Hakika penye uongo ukweli hujitenga.

Haya na yule rafiki anayeitwa Almasi kwa kiswahili ameenda kumpongeza Ruge na wameona umuhimu wa Ruge na akasema yupo pamoja na Ruge sasa sijui Almasi atapona kweli!

Halafu Rafiki wa Mzee wa kuzungusha ndiyo drug Lords wanaompa tiketi na pesa za kuchezea.
Mambo mengi sijamuelewa RC ila hili la tume linaukakasi mwingi sana.
Tukio lilikua la uhalifu, utekaji/uvamizi sasa wahariri na akina Balile sijui walienda kuangalia news au kujua juu ya utekaji/uvamizi kwa taaluma yao nafikiri hawakuwa watu sahihi.
Tume isio sahihi haiwezi kukuhoji na ukakubali tume isiyo na uhalali ikuhoji utakua punguani.
 
Hiyo haikua kamati, lilikua genge la wahuni na ufafanuzi wake RC Makonda kaelezea kwa ufasaha
Kweli bashite kawbashite kweeeli, siamini km hizi zinazoongea hivi nazo ni akili.

Watumishi wa Bashite tusiwashangae kwa majibu haya, km mliweza kumshauri bashite aende kwenye interview star TV na Maelezo Yale!!! Basi tutakuwa tunakosea sana tukiwashangaa kwa comment zenu.

Mm niseme bashite amejiaibisha, amejidhalilisha, amejitukanisha mbele ya macho ya watz, bora Mara mia angeendelea kupiga kimya lkn si kwa kujishusha thani to that extent.
 
Sijui kuna siri gan kati ya wale watu wawili maana haijawah tokea watu kulindana kias kile kama mtu na mwanae ktk awamu za nyuma
 
Kitwanga aliondolewa kwa style ya ulevi nadhani na bwana huyu naye ameandaliwa style hii iwe ndio exit door yake. Hata mtoto mdogo anajuwa wazi Bashite kanjanja hana vyeti.
 
Kama 'yule bwana' na Ruge ni marafiki kwa nini Ruge hakumuita chemba wakamalizana kirafiki badala ya kumuexpose kwenye jamii?usidhan tunaakili za nyumbu !tunajua kilichokuwepo nyuma ya pazia!Ruge anatumiwa!ametumika!
Hapo mie sielewi kabisa,eti miaka nenda rudi tunatembeleana kwangu unakula kwako nakunywa halafu ghafla unanituhumu eti nimekuja kwako bila taarifa,ebo!si ndiyo urafiki au.
 
Yule bwana kuna kipande cha laana aligawiwa na boss wake yule mkuu kabisa.
 
Nawe naomba uwe na akili kama umeonyeshwa clip mtu anavyoingia ndani na askari, why wasionyeshe clip ya kilichojili ndani, wameishia kulalama tu oooh! tumetishiwa na mitutu ya bunduki, mara Soud kapigwa, why wasionyeshe kilichoendelea ndani?
halafu Sudi siku ya pili kaenda kupiga story na Makonda hahaha kweli ilikuwa isidingo
 
Akili za nyumbu pekee ndio zinaweza kuamini igizo hilo.
Tukio litokee ijumaa,malalamiko yatolewe j'3. Alievamiwa amtembelee mvamiaji j'mosi akae kwake hadi SAA 4 usiku wakipiga story wakati ni usiku tu uliopita alimvamia. Kisha j'tatu mvamiwa apewe muda wa kupumzika eti kachanganyikiwa.


Hapo wataamini igizo hilo manyumbu pekee. Ruge anabusara kunyamaza kwani angezidi kujiaibisha
Ndio maana wapo hata wanao mwamini shetani. Yale maneno matatu ya Luge yana maana kuliko yale yaliyo ongewa zaidi ya masaa matatu, "nikiamua kutumia vyombo vyangu nani atasimama" ni kweli anavyo vyombo na walikuwepo waliokuwa navyo kabla yake, na hakuna chombo kitakacho mkatalia kumwangusha yeyote, lakini siku huwa hazigandi yana mwisho.
Luge kaa kimya mwanangu hao ndio papa na nyangumi wanao vuma sasa, najua mtumbwi wetu umetoboka lakini Mungu yupo upande wetu tutavuka salama.
 
Hakuna mwanadamu asiye na mapungufu.mpaka kwenye biblia pameandikwa kuwa kama angehesabu maovu yetu nani angesimama.tunayahesabu ya Ruge lakini yakilammoja wetu nani anayajua?
 
Naona Ruge baada ya kuona Clouds Fm inataka kuwa TBC 2 akaamua kuwa mbali na serikali. Makonda alikwenda pale studio kama rafiki lakini cloud's fm wakaamua kutoa ile clip iliionekane amevamia kituo.
 
Ruge ni mnafiki Mkuu, alipokubali kutumikia magwiji wa Dawa za kulevya kwa kusingizia kituo chake kimevamiwa.

Kushindwa kuthibitsha tukio hilo, au kufungua jalada polisi
Vita ina mbinu nyingi saana kwa waelewa haya matokea yote ni mbinu za kivita ya wauza ngada na makonda
Mengi yatasemwa mwisho wa hii vita mshindi bado hajapatikana
 
Hiyo haikua kamati, lilikua genge la wahuni na ufafanuzi wake RC Makonda kaelezea kwa ufasaha
Muhuni ni yeye anaekwenda kuvamia studio na bunduki,nikukaribishe kwangu alafu baada ya muda unakuja kunivamia na mabunduki eti baadae nije nikae na wewe tuyamalize,pumbavu Bashite,MTU anamkataa mzazi wake Lana tupu
 
Hv clip ya uvamiz ndan ya ofisini inatoka lini tumalize mzozo
 
  • Thanks
Reactions: nao
Kwanini wasimshtaki ili atoe clip yote???
Kwanini wamekaa kimya km kweli bashite ameonewa??
Uniona kimya wakati Polisi wao basi ujue clip INA makubwa ya bashite.
Please use your brain, awali clip inaanza kutembea kwenye mitandao ya kijamii, na maelezo ya kuwa mkuu wa mkoa amevamia kituo cha runinga, hakuna aliekuwa anajua, wala aliewaomba waonyeshe, pili kwa uwelewa wako kama kungekuwa na clip nyingine Makonda na askari wake, wakiwapiga wafanyakazi na vitako vya bunduki unadhani clouds wasingeionyesha? think twice brother!
jingine je kuna file yoyote imefunguliwa na clouds ya kumshtaki mkuu wa mkoa kavamia kituo cha runinga?
 
Back
Top Bottom