Mpunilevel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 3,140
- 1,871
Hiyo haikua kamati, lilikua genge la wahuni na ufafanuzi wake RC Makonda kaelezea kwa ufasaha
"yule bwana" mtoto wa "bwana yuleeee"Kama 'yule bwana' na Ruge ni marafiki kwa nini Ruge hakumuita chemba wakamalizana kirafiki badala ya kumuexpose kwenye jamii?usidhan tunaakili za nyumbu !tunajua kilichokuwepo nyuma ya pazia!Ruge anatumiwa!ametumika!
Ruge ni mnafiki Mkuu, alipokubali kutumikia magwiji wa Dawa za kulevya kwa kusingizia kituo chake kimevamiwa.
Kushindwa kuthibitsha tukio hilo, au kufungua jalada polisi
Wakati mwingine akili ya mtu uwa kama ugolo Fulani hivi. Vipi ile video ilikuwa ya kuigiza au hujawahi kuiona??????
Mwenyewe kasema kweli aliingia studio na skari wake wa ziada ili asiongwe 10b na watu wamihadarati sijui hapo ndiyo makazi yao?. Masikio yazizidi kichwa waweza ehuka!!!!!!!!!!!
Strategy failled 100%finally he is back on headlines ..strategy worked
Dahhh wewe ndiyo umeua kabisaaaaaaaaaaKatika nchi ya watu adilifu bashite hapaswi kuwa mtumishi wa umma hata kwa sekunde moja, hata hivyo tunajua shida ilipo.
Hapa mbona sijaelewa wanaanisha nini .. ni mafumbo"yule bwana" mtoto wa "bwana yuleeee"
Hakutenda haki
Kwanini wasimshtaki ili atoe clip yote???Nawe naomba uwe na akili kama umeonyeshwa clip mtu anavyoingia ndani na askari, why wasionyeshe clip ya kilichojili ndani, wameishia kulalama tu oooh! tumetishiwa na mitutu ya bunduki, mara Soud kapigwa, why wasionyeshe kilichoendelea ndani?
Yule bwana amepata jina jipyaNa bwana yule anamlinda yule bwana
Yule bwana alivuka mipaka na kutaka kumuharibia ofisi yakeKama 'yule bwana' na Ruge ni marafiki kwa nini Ruge hakumuita chemba wakamalizana kirafiki badala ya kumuexpose kwenye jamii?usidhan tunaakili za nyumbu !tunajua kilichokuwepo nyuma ya pazia!Ruge anatumiwa!ametumika!
Jina jipya la bwana yule amelipenda sana, leo amelikana jina la awali ili aendelee kubebwa na bwana yuleYule bwana amepata jina jipya
Hivi nitapata wapi hayo mahojiano ya yule bwana? Hakuulizwa kuhusu vyeti?Jina jipya la bwana yule amelipenda sana, leo amelikana jina la awali ili aendelee kubebwa na bwana yule
Weka unachokijuaKama 'yule bwana' na Ruge ni marafiki kwa nini Ruge hakumuita chemba wakamalizana kirafiki badala ya kumuexpose kwenye jamii?usidhan tunaakili za nyumbu !tunajua kilichokuwepo nyuma ya pazia!Ruge anatumiwa!ametumika!
Wewe haujui chochote,
mie naanzia hapa... unamjua Saida Karoli?
Ruge kwa kushirikiana na Felician Mutta wamemtapeli mpaka leo kawa mkaanga chips, labda akapige shoo kuzimu lakini hapa duniani pesa yote itakayoingizwa ni ya kwao. jiulize why Ruge.
Unamjua Joseph Mbilinyi (Sugu) Huyu aliingia mgogoro wa wazi wazi na Ruge na kundi la Vinega, jiulize why Ruge
Unamjua Lady Jay Dee mpaka kesho hutoisikia nyimbo yake ikipigwa na vituo vya clouds? jiulize why Ruge
Unamjua Albert Mangwair, Huyu alitumwa naniii na ruge south......... ......... after that clouds ikagharamia na msiba na kumaliza mambo kimyakimya
Wasanii kama akina Juma Nature, AY, n.k n.k namaanisha wakongwe wanamjua kwa mikwala yake ukienda kinyume na matakwa yake ni lazima akupoteze enzi hizo za akina mabaga fresh, solid family n.kn.k
Pamoja nayo pia Ana mazuri yake.
Ukitaka kumchambua mtu lete historia yake ndio utapata picha yake halisi yukoje,
Hata hivyo jamaa mnafiki, na anatumiwa
Vyeti kaulizwa lakini alikwepa kujibu moja kwa moja lakini wenye akili wamemwelewa bwana yule kuwa hana vyetiHivi nitapata wapi hayo mahojiano ya yule bwana? Hakuulizwa kuhusu vyeti?